Mwanakijiji,
..tafadhali msimu-undermine Rais Samia Hassan.
..mnaposema anatekeleza malengo ya " magufuli -- samia " ni kama vile hamuukubali Uraisi wa Samia Hassan.
..wakati wa Magufuli tulikuwa tukitamka na kuutambua uongozi wake kama " awamu ya Magufuli ". Hatukuwahi kusema ni " awamu ya Magufuli -- Samia ".
..hata huko nyuma hatukuwahi kusema " awamu ya Nyerere -- Jumbe " , au " awamu ya Mwinyi -- Warioba". Tulisema awamu ya Nyerere, awamu ya Mwinyi,...
..kama nilichoeleza hapo juu ni kweli, basi tumpe heshima zake Rais Samia Suluhu Hassan kama tulivyofanya kwa watangulizi wake.
..tafadhali msimu-undermine Rais Samia Hassan.
..mnaposema anatekeleza malengo ya " magufuli -- samia " ni kama vile hamuukubali Uraisi wa Samia Hassan.
..wakati wa Magufuli tulikuwa tukitamka na kuutambua uongozi wake kama " awamu ya Magufuli ". Hatukuwahi kusema ni " awamu ya Magufuli -- Samia ".
..hata huko nyuma hatukuwahi kusema " awamu ya Nyerere -- Jumbe " , au " awamu ya Mwinyi -- Warioba". Tulisema awamu ya Nyerere, awamu ya Mwinyi,...
..kama nilichoeleza hapo juu ni kweli, basi tumpe heshima zake Rais Samia Suluhu Hassan kama tulivyofanya kwa watangulizi wake.