Mpendazoe aanika walioanzisha CCJ

Mpendazoe aanika walioanzisha CCJ

Kwa nini walimpandisha cheo cha UDC haraka haraka Nape wakati wapo kwenye harakati za kutengeneza katiba ya Chama cha CCJ? Samwel Sitta naye amekuwa na jitihada za kujinadi vyuoni na makanisani mwakajana. Licha ndani ya CCM kuwa na wengi wenye sifa ya Ukatibu mwenezi lakini amekuja pewa ambaye amekuwa na itikadi za kuanzisha chama kipya. hata huu uwaziri wa Siita na Mwakiembe ni mbinu za kuzipa ufa wa mpasuko wa makundi ndani ya CCM.
 
Taratiiibu uongo utajitenga na ukweli,mwisho tutamjua mchawi ni nani
 
subira huvuta kheri. tusubiri tuone haya yatatupeleka wapi.
 
Mmhu! Tutasikia mengi mwaka huu
hamna jipya magazeti yote hayo yanafanya kazi kwa ajili ya kuwatete akina rachel iko siku watanzania wataelewa ukweli kubusu huu utapeli wa viongozi wa cdm mwanzoni tuliwaamini gafla wamebadilika naamini kabisa hata haya maandamano yanayofanyika watakuwa wamewezeshwa ma kundi la rachel aibu gani hii nyie cdm mlaaniwe kwa kitendo chenu cha kutetea mapacha watatu w
 
Haya magazeti yote pamoja na uongozi wa cdm wanafanya kazi kubwa sana ya kusafisha mapacha watatu aibu gani hii cdm mnatia aibu

makupa uliingia kwa kasi sana jf ...sijaona started thread/post yako hata moja zaidi ya kuchangia mashuzi kwenye thread zilizoanzishwa .... tafuta consultant aishauri akili yako
 
Mkama umenena kweli. Kumbe CCM wanajuwa kuwa JK hatafika 2015!
 
mzee wangu nape tuna hamu na wewe huku moshi ulisema chadema ni ya wachaga njoo utueleze,tunataka tukunyweshe mbege na kisusio,hivi yuko hapa
 
makupa uliingia kwa kasi sana jf ...sijaona started thread/post yako hata moja zaidi ya kuchangia mashuzi kwenye thread zilizoanzishwa .... tafuta consultant aishauri akili yako

Wewe ndio utafute huyo consultant ambae ataweza kukueleza umuhimu wa kusikiliza au kuandika balanced news vile vike atakusaidia kukuelimisha kuwa mtu mzima kama wewe hustahili na wala hutakiwi kutumia matusi aibu gani hii hivi mod mnafanya nini mpaka wabuni wanaweza tumia lugha za matusi hapa jamvini
 
makupa uliingia kwa kasi sana jf ...sijaona started thread/post yako hata moja zaidi ya kuchangia mashuzi kwenye thread zilizoanzishwa .... tafuta consultant aishauri akili yako
naamini kabisa wewd ndio unahitaji kupata
ushauri nasaha mtu mzima una lugha chafu kama banda la nguruwe
 
Mtorii, naomba akija huko muulize haya: wachagga ni watanzania? pia ni kitu gani hasa kinamkera mpaka awakatae wachagga? hayo tu.
 
We utampaje mtu kama huyo vyakula na pombe ya heshima kama mbege???!Mpeni gongo tu kama hajabadilisha story.....
 
Mtorii, naomba akija huko muulize haya: wachagga ni watanzania? pia ni kitu gani hasa kinamkera mpaka awakatae wachagga? hayo tu.

Yule hataenda ameshaogopeshwa, akienda labda atakuwa anapita tu. Wachagga sio wachoyo tena atakapo kwenda awaambie wamwandalie kisusio na mbege ya nguvu. Wachagga ni watu wasiokuwa na kinyongo na niwavumilivu sana.:A S-rose:
 
Mbunge wa zamani wa Kishapu Fredrick Mpendazoe ameibuka na kutaja baadhi ya vigogo wa CCM kuwa eti ndio walioasisi CCJ.

Miongoni mwa waliotajwa ni pamoja na Spika wa zamani Samwel Sitta na kasuku wa Sisiem Nnauye.

Je madai haya yana ukweli wowote au ni mbinu za mzee huyu kurudi kwenye ulingo baada ya kuona kashachuja kisiasa?? JF mnasemaje?
 
Khaa mbona tumejadili mpaka tumechoka Mkuu? Mada yako itaondolewa sio muda hapa
 
Back
Top Bottom