‘’Mpemba’’ amponza DCI, Diwani Athumani

‘’Mpemba’’ amponza DCI, Diwani Athumani

MsemajiUkweli

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2012
Posts
13,185
Reaction score
24,051
Kama humfahamu mtu anayejulikana kama ''mpemba'', ingia kwenye mtandao ya NGO zinazopambana na vita vya ujangili wa nyara za serikali au subiri kesi ya ''Malkia wa pembe za ndovu''.

Ukitaka kumfahamu ''mpemba'' pitia hii thread;
Katibu wa zamani wa Simba Hasonoo kortini kwa wizi wa pembe za ndovu

Watanzania wengi ni wagumu sana kubadilika!

Makamu wa Rais wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan kila siku anawambia wabadilike kwa sababu zama zimebadilika lakini wameziba masikio na hawataki kubadilika.

Ndugu yangu Diwani Athumani alikuwa anadhani ni zama zileee ambazo unaweza kuweka uzio katika uchunguzi kwa sababu ya cheo chako au ukaribu wako na Ikulu na hakuna wa kuhoji kwa nini unaweka uzio .

Huu sio muda wa kukumbatia mitandao ya kijangili na kifisadi. Zama zimebadilika sana.

Kwa nini baadhi ya watu hawajifunzi kwa Home Shopping Center ambayo baada ya kunusa hatari iliyoko mbele wakaamua kujifilisi kisheria na kuibuka huku wamevaa ngozi nyingine kibiashara inayoitwa GSM Foundation.

Rais Magufuli kila mara anawaambia kama unafahamu ulikuwa unatenda dhambi za kisiasa na kiuchumi. Huu ni muda wa kutubu na kuachana na dhambi hizo.

Vita vya nyara za serikali imemuondoa Diwani Athumani.

Kuna wengine bado wako mbioni kusombwa na mafuriko.
 
Watanzania wengi ni wagumu sana kubadilika!

Makamu wa Rais wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan kila siku anawambia wabadilike kwa sababu zama zimebadilika lakini wameziba masikio na hawataki kubadilika.

Ndugu yangu Diwani Athumani alikuwa anadhani ni zama zileee ambazo unaweza kuweka uzio kwa sababu ya cheo chako au ukaribu wako na Ikulu na hakuna wa kuhoji kwa nini unaweka uzio .

Huu sio muda wa kukumbatia mitandao ya kijangili na kifisadi. Zama zimebadilika sana.

Kwa nini baadhi ya watu hawajifunzi kwa Home Shopping Center ambayo baada ya kunusa hatari iliyoko mbele wakaamua kujifilisi kisheria na kuibuka huku wamevaa ngozi nyingine kibiashara inayoitwa GSM Foundation.

Rais Magufuli kila mara anawaambia kama unafahamu ulikuwa unatenda dhambi za kisiasa na kiuchumi. Huu ni muda wa kutubu na kuachana na dhambi hizo.

Vita vya nyara za serikali imemuondoa Diwani Athumani.

Kuna wengine bado wako mbioni kusombwa na mafuriko.
Wasombwe tu, tumechokaa. Waanze na huyu prof. njaa maghembe tumechoka tumechoka tumechoka.
 
Sasa kichwa cha habari ni Mpemba halafu ndani ni maoni yako tu
na hiyo habari ya mpemba haipo

na wewe mbona hubadiliki?
Sasa ulitaka niweke maoni yako?

Kwani wewe umebadilika?

Hii ni thread yangu na nina haki ya kuandika chochote kama sivunji taratibu na sheria za Jamiiforums.

Kama unadhani hakuna lolote unaloweza kuchagia katika maoni yangu, ungesoma na kuondoka tu.

Jamiiforums has no room for dictatorial mentality.
 
Kama humfahamu mtu anayejulikana kama ''mpemba'', ingia kwenye mtandao ya NGO zinazopambana na vita vya ujangili wa nyara za serikali au subiri kesi ya ''Malkia wa pembe za ndovu''.

Watanzania wengi ni wagumu sana kubadilika!

Makamu wa Rais wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan kila siku anawambia wabadilike kwa sababu zama zimebadilika lakini wameziba masikio na hawataki kubadilika.

Ndugu yangu Diwani Athumani alikuwa anadhani ni zama zileee ambazo unaweza kuweka uzio kwa sababu ya cheo chako au ukaribu wako na Ikulu na hakuna wa kuhoji kwa nini unaweka uzio .

Huu sio muda wa kukumbatia mitandao ya kijangili na kifisadi. Zama zimebadilika sana.

Kwa nini baadhi ya watu hawajifunzi kwa Home Shopping Center ambayo baada ya kunusa hatari iliyoko mbele wakaamua kujifilisi kisheria na kuibuka huku wamevaa ngozi nyingine kibiashara inayoitwa GSM Foundation.

Rais Magufuli kila mara anawaambia kama unafahamu ulikuwa unatenda dhambi za kisiasa na kiuchumi. Huu ni muda wa kutubu na kuachana na dhambi hizo.

Vita vya nyara za serikali imemuondoa Diwani Athumani.

Kuna wengine bado wako mbioni kusombwa na mafuriko.
Unajua kazi ya DCI Lakini ?
Yaani aachwe kutumbuliwa Kamanda wa Kikosi cha kuzuia ujangili atumbuliwe DCI.
 
Sasa ulitaka niweke maoni yako?

Kwani wewe umebadilika?
Hii ni thread yangu na nina haki ya kuandika chochote kama sivunji taratibu na sheria za Jamiiforums.
Kama unadhani hakuna lolote unaloweza kuchagia katika maoni yangu, ungesoma na
kuondoka tu.
Jamiiforums has no room for dictatorial mentality.
Sasa hasira za nini badala ya kuandika kitu kinachoeleweka watu wakuelewe ila unaishia kutaja "mpemba" hoja yako ni ipi?
 
Kupanga safu ya kusaidia ushinde gori 3 ,uwa inaitaji weredi na busara kubwa,Kwa Mwendo huu nadhan anapanga safu afu safu iyo iyo inamwagusha efficiency is less than expectation!
 
Huu sio muda wa kukumbatia mitandao ya kijangili na kifisadi. Zama zimebadilika sana.
Kwa nini baadhi ya watu hawajifunzi kwa Home Shopping Center ambayo baada ya kunusa hatari iliyoko mbele wakaamua kujifilisi kisheria na kuibuka huku wamevaa ngozi nyingine kibiashara inayoitwa GSM Foundation.
.
kwahiyo GSM Washakuwa halali ilhali mnajua kuwa wamejivika ngozi nyingine.Na misaada wanatoa na serikali inaipokea.Ebu nirudishie imani iliyopotea juu ya hii serikali unayoisifu kila kukicha...
 
Back
Top Bottom