Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Binti uliebadilisha namba ipo siku tutaonana tu
Mwanangu yupo humu humu kwani???
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Binti uliebadilisha namba ipo siku tutaonana tu
sijui hata ila anaweza akawepo
Mwanangu yupo humu humu kwani???
And you know me well, you know me better!
She will be in a extremely safe hands
😀😀😀😀😀 yaani si mchezo, Luna mshkaji wangu mmoja wakati tupo chuo alipataga binti flan hivi. Sasa anamsaundishaaaaaa, anakaa sawa. Kesho akisema aendeleze kidogo, binti anacharuka mtongozo wote wa Jana kausahau, inabidi mshkaji aanze upyaaaa. HahahahahahahaBaraka zangu hamnazo wala
Poleee mzee baba. Mimi nipo hapa namkomalia Khantwe Ila mgumu kuelewasijui hata ila anaweza akawepo
Kwa kweli, ngoja maswali yangu nije nkuulizie piyemu. Maana hii IQ yako ni kubwa mno and that's my weakness. Fuata nyuki eti, naanzaje sasa kuji-attach na watu wa IQ ndogo kama........
Mashaka hayo ameanza lini na mimi???Not to that extent
Duh! Nimekukubali kwa kweli, hivi mimi nlisahauje hili??Bana wewe mapenzi moyo, hayo ya achana nayo
Atanikumbuka mwambiePoleee mzee baba. Mimi nipo hapa namkomalia Khantwe Ila mgumu kuelewa
Nani?? Khantwe Au??Atanikumbuka mwambie
Alikwenda kwa mtafuta vibonge nikaachwaNani?? Khantwe Au??
Duh! Ntamfikishia salaam zakeAlikwenda kwa mtafuta vibonge nikaachwa
huyo jamaa yako inaonekana alikuwa anatongoza watu wawili. Kuna rafiki yangu mmoja alikuwa anasema kutongoza demu mwenye kaka tabu sana maana unajikuta unamtongoza yeye na unatakiwa umtongoze na kaka yake piayaani si mchezo, Luna mshkaji wangu mmoja wakati tupo chuo alipataga binti flan hivi. Sasa anamsaundishaaaaaa, anakaa sawa. Kesho akisema aendeleze kidogo, binti anacharuka mtongozo wote wa Jana kausahau, inabidi mshkaji aanze upyaaaa. Hahahahahahaha
Ngoma ilikwenda hivyo for two weeks mwisho mshkaji akaona hebu huko.
Yameanza leo. Btw Mpesa wamenibadilishia pasiwediMashaka hayo ameanza lini na mimi???
wewe ndio uliniachaAlikwenda kwa mtafuta vibonge nikaachwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyo jamaa yako inaonekana alikuwa anatongoza watu wawili. Kuna rafiki yangu mmoja alikuwa anasema kutongoza demu mwenye kaka tabu sana maana unajikuta unamtongoza yeye na unatakiwa umtongoze na kaka yake pia
Usiku huu???🤣🤣🤣🤣🤣Yameanza leo. Btw Mpesa wamenibadilishia pasiwedi
Tufanye wewe na Mtoto halali na hela mliachana. Hakuna lawama, kama vipi rudianeniwewe ndio uliniacha
kwani kuna muda maalum?Usiku huu???
Huwa sirudi nyuma, daima mbeleTufanye wewe na Mtoto halali na hela mliachana. Hakuna lawama, kama vipi rudianeni