Mpasuko mkubwa mwingine waja UKAWA/ CHADEMA

Mpasuko mkubwa mwingine waja UKAWA/ CHADEMA

Watanzania mkiwapa ccm ushindi kirahisi tu watafanya yale yale, mnatakiwa kuwabana ili hata wakishinda wajue kuwa hamkutaka washinde.
 
It's a "two-way attack" bwana, wewe huoni attacks toka kwa wana UKAWA wa mtandaoni?

Wao ni wapinzani...na ndiyo state yao currently! Ni tofauti na chama kilichoko madarakani miaka 50 kushindwa kujitetea kwa sera na chenyewe kina-launch attack kwa wapinzani!
 
Mabere Marandu ndo nani ndani ya CDM!!!! kweli mmeishiwa ccm!!! Sasa kama ameondoka Dr. slaaa lakini bado CDM ipo imara! Nani tena mwingine anaweza kukitishia CDM? ulishaambiwa CDM siyo mtu ni bali ni nguvu ya umma (invisible power to a single person). Sasa uyue nguvu hii ilivyo ni kwamba hata Lowasa akihama leo bado tutapia kura hata kwenye kivuli cha UKAWA!! kuliko kuipa ccm
 
Wanapoteza mamilion ya pesa kununua watu badala ya kupeleka madawa mahosptalin na kuokoa wanafunz wanaokaa chin mpaka leo.
 
Wacha uwepo huo mpasuko sisi kura tunawapa tu kuutoa mfumo kandamizi wa miaka mingi nchi haiend
 
Hivi mbona hamtaki kuelewa, ngoja nikuambie kutu.
Hata wewe na akiliyako hiyohiyi uliokuwanayo ungegombea urais kupitia Ukawa tungekuchagua tunataka kuondoa system inayo fanya kazi kwa mazoeya that's all.

Hata Mboe na Mtei wakihama hatutarudi nyuma.
Maamuzi ya mabadiliko yana fanywa na wananchi weyewe na sio kwasababu ya mtu flani.
You need to know it!.
Watu wanamatumaini ?......watakapoambiwa mgombea wao ameambulia chini ya 40% macho yatawatoka, mtatoa povu, mtaandika ila itakuwa historia......na mtanyooka.
 
Kwanini chadema hawapendi ukweli? na hapo ndo mm huwa siwaamini, kimsingi chadema wanampasuko mkubwa sana, sasa hawa viheleele wa JF muda wote wanachojua wao ni kusema hapana, huo mm huwa naufananisha na ugonjwa wa degedege, Lowasa kimsingi amefeli kuibomoa ccm kwa plani yake ya awali na angefanikiwa mambo yake yangemwendea vizuri, wengi hawaelewi hilo, kwani muda wote wao ni hapana2, Lowasa alitegemea mafuriko kutoka ccm, na ndo maana alisema kabla kwamba ushindi ni asubuhi.

Baada ya kushindwa kuibomoa ccm ile lugha yake ya kushinda asbuhi haisemi sasa, hicho nacho hamukisikii jamani? Lowasa kajikuta mafuriko ni mizigo wenzake ambao kimsingi hawana ushawishi kwa watu, mfano Masha, huyu masha alipigwa chini na wenje na juhudi kubwa alizofanya wakati huo ili atangazwe kuwa yy ndo mshindi, safari hii alikwenda Sengerema nako kapigwa na Ngereja-sasa kaibukia UKAWA.Mgeja pia hana ushawishi Shinyanga, Msindai ndo kabisaa, Dr.Makongoro Mahanga, hayo ndo mafuriko ya Lowasa kupata ushindi, wakaona hali imekuwa mbaya sana, imebidi abembelezwe Sumaye pamoja na tofauti zao za muda mrefu labda anaweza kusaidia ukiweka na kaukanda kao kakishikaji, bado Sumaye kaonekana alikuwa anaitwa Mr.0 maana yake katika mawaziri wakuu wa tz yy ndo alikuwa mzigo. kimsingi hali si shwari ndani ya umoja huo.

Kwani wewe uko mioyoni mwa watanzania kujua hakuna mafuriko, subiri 25 Oct 2015
 
Mm huwa nawashaaga sana ccm hizo pesa zote wanazo wanunua wakina lipumba dr slaa ni pesa nyingi sana kama kweli wangekuwa na akili hizo pesa ni bora wangekuwa wanawasidia wananchi hata wa vijiji 10 mbona wangepata hata tukura kidogo tungewasaidia mbele ya safari kuliko kwenda kuwapa matahira wawili wakina lipumba na dr mihogo ambao hawana hata shukrani.
 
Mimi nasema hivi huyo mnyika hana mpango wakijinginga kama unavyomzania wewe
 
Uzuri wa vyama vya siasa siku hizi ni taasisi..

Anatoka mtu anaingia mwingine maisha yanaendelea
 
acheni kupiga kelele enyi wana ukawa, mbona alichozungumza jamaa kipo wazi na mpasuko anaouzungumzia unathibitika .
acheni piga kelele zungumzeni hoja😎😎
 
Baada ya Dr. Slaa kuleta sintofahamu kubwa kwenye UkIwa/Chadema na fisadi wao papa Lowassa, sasa katika kipindi cha wiki mbili kutatokea 'exodus' kubwa kama ile aliyoimba hayati Bob Marley.

Wanaotajwa kusumbuliwa sana na nafsi zao kama Dr. Slaa ni John Mnyika pamoja na Mabere Marando. UKAWA walisubirie hili pigo kubwa ambalo liko njiani.

Waondoke wote abaki lowassa mwenyewe tunasonga nae
 
Back
Top Bottom