Mpasuko mkubwa mwingine waja UKAWA/ CHADEMA

Mpasuko mkubwa mwingine waja UKAWA/ CHADEMA

Mind you that there is life after general election ,unafikiri kutakua na harufu gani upande wa UKAWA once CCM wakinyakua ushindi?

not a big deal ndugu.........

ni jambo la kawaida hapa lazma mmoja ashnde....
and fear is not part of ushindani



so usiniogopeshe



:mad2:
 
Usimuhusishe Bob Marley na harakati zake za kumkomboa mtu mweusi na upuuzi ulio uandika hapa
 
Kamwe sintokubali baba yangu adhalilishwe mbele yangu,ni lazima nitajibu kumtetea.Nionavyo kuna Mzee atadhalilishwa mbele ya mtoto wake,sasa hapo sijui ni kampeni au nini.
"Siyo adabu kumpa baba yake nguo zako afuwe hata kama kazi yake inayompatia riziki halali ni ya udobi"
 
Tulisha hamua....tunasonga mbele. Nyie wanunueni ndo mtajua wapiga kura ni sisi na wala sii mnyika wala dr blaa blaa na huyo marando unaemtaja. Hata mboe akichapa lapa maamuzi yapo kwetu watz . Bora nec ishampitisha lowasa basi. Tutasonga mbele.
Na kweli mlishaHAMUA. Wewe na nani? Yaani mtu ukishakuwa msukule wa Gwajima Medulla Oblongata inakata. So sad!
 
Tunataka raisi na si mfano wa raisi-Emanuel Nchimbi akimnadi Magufuli kule bombi hii nyumbi hii
 
Baada ya Dr. Slaa kuleta sintofahamu kubwa kwenye UkIwa/Chadema na fisadi wao papa Lowassa, sasa katika kipindi cha wiki mbili kutatokea 'exodus' kubwa kama ile aliyoimba hayati Bob Marley.

Wanaotajwa kusumbuliwa sana na nafsi zao kama Dr. Slaa ni John Mnyika pamoja na Mabere Marando. UKAWA walisubirie hili pigo kubwa ambalo liko njiani.

Mabere Marando ameshiriki kwa kina kutengeza CHADEMA na kuifikisha hapo ilipo, hivyo kuondoka kwake (kama ni kweli anaondoka) si tatizo kwani hana chake tena, si amemaliza kazi yake?

Ila kama kweli John Mnyika ataondoka, basi atazidi kukamilisha ile orodha ndefu ya wasaliti maana ni ndefu.
 
Baada ya Dr. Slaa kuleta sintofahamu kubwa kwenye UkIwa/Chadema na fisadi wao papa Lowassa, sasa katika kipindi cha wiki mbili kutatokea 'exodus' kubwa kama ile aliyoimba hayati Bob Marley.

Wanaotajwa kusumbuliwa sana na nafsi zao kama Dr. Slaa ni John Mnyika pamoja na Mabere Marando. UKAWA walisubirie hili pigo kubwa ambalo liko njiani.
Lipumba - Tshs. 3,000,000,000/=
Slaa(Dr. Cassava) - 3,600,000,000/=
Je na hao wengine watapewa ngapi?
** Halafu jambo la msingi nikuulize wewe mleta mada umepata ngapi? Maana nakusikitikia sana unashabikia ujinga huku ukijua kabisa wenzako wanatoa fedha nyingi kuwaraghai hao unaowataja lakini jiulize mbona wewe haupewi?
 
Mabere Marando ameshiriki kwa kina kutengeza CHADEMA na kuifikisha hapo ilipo, hivyo kuondoka kwake (kama ni kweli anaondoka) si tatizo kwani hana chake tena, si amemaliza kazi yake?

Ila kama kweli John Mnyika ataondoka, basi atazidi kukamilisha ile orodha ndefu ya wasaliti maana ni ndefu.

Kumbe Marando hana thamani tena ndani ya Chadema...
Kumbe Chadema imejaa wasaliti...
Unanifungua macho mie
 
Kumbe Marando hana thamani tena ndani ya Chadema...
Kumbe Chadema imejaa wasaliti...
Unanifungua macho mie

Tena Marando ndie anajiharibia zaidi "credibility" yake ukizingatia historia yake.

Au unataka kuamini kwamba hana historia?

Pitiapitia utafahamu.
 
Tena Marando ndie anajiharibia zaidi "credibility" yake ukizingatia historia yake.

Au unataka kuamini kwamba hana historia?

Pitiapitia utafahamu.

Umbea wa Lumumba kama wanawake kizaram
 
Jamani kinana keshawaambia ccm mnavyofanya kununua wana ukawa mnampaisha lowasa kwani tatizo siyo lowasa tatizo ni wananchi ndio wenye maamuzi hamna namna tena nadhani mmeona uwanja wa taifa na moro pale lowasa wala hausiki
 
Umbea wa Lumumba kama wanawake kizaram

Bahati mbaya mimi hilo neno la Lumumba ndio nasikia wewe walitaja.

Halafu kijana jaribu kuchunga maneno unayotamka.

Tumia lugha ya kiungwana huitaji kununua heshima.
 
Baada ya Dr. Slaa kuleta sintofahamu kubwa kwenye UkIwa/Chadema na fisadi wao papa Lowassa, sasa katika kipindi cha wiki mbili kutatokea 'exodus' kubwa kama ile aliyoimba hayati Bob Marley.

Wanaotajwa kusumbuliwa sana na nafsi zao kama Dr. Slaa ni John Mnyika pamoja na Mabere Marando. UKAWA walisubirie hili pigo kubwa ambalo liko njiani.

Huu ni #UPUUZI TU...NA HUYO MNYIKA UNAYEMSEMA HAMUWEZI KUMPATA MAANA HANUNULIKI YULE KIJANA IMARA SANA ANA UWEZO MKUBWA ZAIDI YA HUYO MAKOMEO WENU NA LEO TULIKUWA NAYE PALE MBEZI KWENYE MKUTANO WA LOWASSA NA HANA DALILI ZOZOTE ZA KUHAMA CHADEMA KUJA HUKO CCM!
 
Bahati mbaya mimi hilo neno la Lumumba ndio nasikia wewe walitaja.

Halafu kijana jaribu kuchunga maneno unayotamka.

Tumia lugha ya kiungwana huitaji kununua heshima.

Watu wazima mmekalia majungu tuuu
 
Watu wazima mmekalia majungu tuuu

Sasa niambie ni nani mwenye kupika majungu yule alieleta hii thread au mimi ninaetafuta ukweli wake?

Otherwise Bina na Ngai na Respect, and let me taking the solo.
 
Lowasa amesha nunua chama kwa bei poa kabisa hata waondoke wote
 
Baada ya Dr. Slaa kuleta sintofahamu kubwa kwenye UkIwa/Chadema na fisadi wao papa Lowassa, sasa katika kipindi cha wiki mbili kutatokea 'exodus' kubwa kama ile aliyoimba hayati Bob Marley.

Wanaotajwa kusumbuliwa sana na nafsi zao kama Dr. Slaa ni John Mnyika pamoja na Mabere Marando. UKAWA walisubirie hili pigo kubwa ambalo liko njiani.

Mnyika na Marando hawawezi kupishana na gari la mshahara.Lowasa ni gari la Mshahara.Ila nijuacho ndani ya siku chache CCM itateteleka zaidi
 
Back
Top Bottom