Mpasuko mkubwa mwingine waja UKAWA/ CHADEMA

Mpasuko mkubwa mwingine waja UKAWA/ CHADEMA

Mimi leo nlikuepo kwenye mkutano wa lowassa jimboni kwangu kibamba, mafuriko na hamasa nliyoiona pale sikuamini macho yangu...hakika watu wameichoka ccm, na sidhan kama kuna wa kuzuia wimbi hili la mabadiliko, sio dr cassava wala lipumba
 
hivi kuna mpasuko.?? naona kama huyu slaa hana mvuto wowote wala hajatikisa ndo kwanzaaa ametutia mori wa kulala vituoni kusubiri kuwapa ukawa kura
Mind you that there is life after general election ,unafikiri kutakua na harufu gani upande wa UKAWA once CCM wakinyakua ushindi?
 
Hivi bado mnatutafuta?? Poleni sanaa ikuluu ilee twaingia mtabaki kuchafua sis tumeshabadilika siku nying tupo kwenye ubora wetuu
 
Watu wenye busara hukaa na kujiuliza, kwann imetokea, hapa mnapiga kelele hakuna tatizo lkn hamjui watu wanaomwamini dok ni wangapi, na mjue hawapigi kelele mtandaoni km nyinyi kujipa matumaini kuwa no problem with his exit
 
Mimi leo nlikuepo kwenye mkutano wa lowassa jimboni kwangu kibamba, mafuriko na hamasa nliyoiona pale sikuamini macho yangu...hakika watu wameichoka ccm, na sidhan kama kuna wa kuzuia wimbi hili la mabadiliko, sio dr cassava wala lipumba

Lipumba na Slaa wameona mbali. Lowasa urais atausikia kwenye harufu labda Burundi.
 
Watu wenye busara hukaa na kujiuliza, kwann imetokea, hapa mnapiga kelele hakuna tatizo lkn hamjui watu wanaomwamini dok ni wangapi, na mjue hawapigi kelele mtandaoni km nyinyi kujipa matumaini kuwa no problem with his exit

Wewe nikuambie kama kungekuwa na uwezo wa kurudisha siku nyuma slaa angefanya hivyo anajutaa sanaa moyoni mwake! Pia huyo mwanamke wake ndo Delila amemlaghai slaa mpaka kanyolewa nywele zotee subirini kutobolewa tuu macho slaa. Kumuasi Mungu ni dhambi kubwa ila kama alitubu Mungu Keisha samehe je? Mke wake Rose alishamsamehe??? Muda si mrefuu atakuwa chalii
 
Baada ya Dr. Slaa kuleta sintofahamu kubwa kwenye UkIwa/Chadema na fisadi wao papa Lowassa, sasa katika kipindi cha wiki mbili kutatokea 'exodus' kubwa kama ile aliyoimba hayati Bob Marley.

Wanaotajwa kusumbuliwa sana na nafsi zao kama Dr. Slaa ni John Mnyika pamoja na Mabere Marando. UKAWA walisubirie hili pigo kubwa ambalo liko njiani.

Naona KAZI YA UMESENJA unaiweza sana, boi kuja hapa nyoyoa kuku, Boi neda dukani lete ziwa, Boi neda dukani leta toilet papaer teh teh MESENJA duu uko professional sana:bange:
 
Missing the target...risasi ya mwisho ilikua Dr kishtobe nipake mafuta, ndo wamekosa target..wanatamani mkwaja urudishwe.
 
Bado wanatafuta kiki ya kusemea ili wapunguze mwamko,kwa hapo wameze mate koo litauma bure sisi hatuelewi kitu kea sasa tunajua ccm inachelewa kuondoka oct 25.
 
kila mtu ambaye anawaza sawasawa, hawezi kumsifia mtu ambaye anawambia wa tz eti e.l hafai na haonyeshi wapi wa tz wakubaliane maana alimkosoa hata maguli!! angeiambia nec warudie mchakato wa uchukuaji fomu basi!! then aende akachukue naye agombee!! sada anatuvuruga tu ameshachelewa!!
 
Kama Lipumba na Slaa hawajaleta madhara kwny pilika za mabadiliko, hakuna mwingine atakayefanikiwa kusumbua wapenda mabadiliko. Ccm watafute mikakati mingine ya kisiasa maana mbinu zao nyng zimefeli.
NI WAKATI WA MABADILIKO.
 
Back
Top Bottom