Ndugu zangu watanzania kama wewe unahisi kuwa katika kuomba kwako Mungu anakusikia naomba wakati ni huu wa kuingia katika magoti yaliyo kolezwa na kufunga.
TUMWOMBE MUNGU CCM IFE KABISA. HILI NI KWA KILA MWENYE UCHUNGU JUU YA TANZANIA NA WATANZANIA.
Hili halina itikadi, la matatizo yanatukumba wote hayaangalii kama umevaa kijani au la. Ndugu zangu wana-CCM mimi ni Mwana- CCM mwenzenu tunatumiwa na viongozi kulinda nafasi zao za ulaji huku siye huku tukikimbilia porini kukwepa michango ya ujenzi wa sekondari inayotukaba koo huku mafisadi wakiendelea kukwapua fedha za Umma.
Mtu mmoja anaiba fedha inayotosha kujenga shule zaidi ya miambili za Kata. Nasikia uchungu sana. Eee Mungu najua uwa unanisikia na nimeweza kuyaona matendo yako makuu katika yale nikuombayo, na sasa nakuomba Uisambaratishe CCM hata ikifurukuta hata kuingia katika uchaguzi ishindwe vibaya sana na huo uwe mwisho wake. Tumechoshwa na NDIYOOOOOOO Hata kwa mambo ya kupuuzi.
Eeeh Mungu iue CCM MOJA KWA MOJA. Kila anayeipenda Tanzania na watanzania aseme AMINA
Mwandishi aw thread hii Hana habari na kinachoendelea. CCM kwa sasa iko salama kuliko Wakati wowote siku za karibunn. Hao unaowataja hata wote wakitoka CCM hapati kuwa na madhara yeyote. Hebu jiulize Membe kwa mfano Ana kundi gani la kusumbua Chama cha mapinduzi. Sita I alitoa CCM atakaemfuata labda Margret sitta mkewe. Unaandika mabo ya kuffikrika ambayo aungependa yatokee ingawa Hayattokei wala hayatokea.
Pole Ritz!Heading na Content tofauti kabisa...ebu pitia hotuba ya Lowassa wakati anaongea na waandishi wa habari anakuambia yeye na JK hawakukutana barabarani...nimefungua hii thread nikidhani nakutana na habari ya maana kumbe ni Vapour.
Mkuu labda nikusaidie, PLO ndio hutoa mafunzo ya kijasusi (green guard) ndani ya ccm,
FRELIMO ni mdau mkubwa na waasili wa ccm tangu chama hich cha Samora Macela kilipokuwa kikidai Uhuru toka kwa Mreno na hivi majuzi kilipokuwa kikipambana na RENAMO
ANC hiyo ndio muhimili wa usaidizi kwa ccm, na mtu muhimu sana kwa ustawi wa kijani, ANC imekuwa ikisaidia kutoa mafunzo kwa ccm ya kuendesha siasa za kileo hasa za KUCHAKACHU matokeo ya chaguzi!
Kwaujumla hapo vyama nilivyovitaja ni ROHO ya kidiplomasia ya ccm achilia mbali chama Yujing Tao wa CHINA
Londan ni wapi mkuu?Huu ni uwongo mwingine, maana si mda mrefu Lowasa na JK walikutana Londan na walikuwa pamoja kwa mazungumzo je napo usalama walimlazimisha?