Mpasuko Chadema

yuko kazini, hongera unajitahidi lakini; wakuongeze dau???
 

Kwenye Katiba ya CHADEMA Hamna cheo cha mwenyekiti wa wenyeviti. Wacha kutufanya sisi watoto wadogo. Naona umekosa cha kuandika unabwabaja tu.
 
Onyesha pumba moja katika hayo!
nenda ukaanzishe site yenu na mkwere mwenzio ndo uwe una post hizi thread zako za kipuuzi...............sawa zoba,mana u olwez controlled by feelings n not reasoning.
 
Zoba utadanganywa na mapungufu ya kiufundi mpaka lini, nchi yetu inataka viongozi wanaojitoa mhanfpga kama wanajeshi la umma, CDM, sijaona kama umeona DAWONS si tatizo kwako, unaongelea pilipili inayo liwa umeacha kuzungumia heroine cocaine za ccm kwa wadanganyika kama ww? madini na mazao ya maliasili yanavyo ibwa huoni? au umoja wa majambai ;olini unaufagilia ukiponda upungufu ktk CDM? kama ni ccm tunisia itawakuta tutachoka kuburuzwa na hata makinda akina r,,,,,,,,z''''''''''''1........... wanaodhani tz ni yao.
Siyo siri umeniboa na urofa na uzoba wakufikiri, amka ukomboe nchi yako, wacha maji ya majani ya mgoma vaa magwanda tuponye nchi.
kudadadeki nimechikia sn.
 

mkuu... hapo chamkoroma kuna madini mengi sana...kuna rose quartz na sandstone ya kufa mtu
 
Duhhh, ukweli unauma, nimetonesha kidonda! Mamaaa.
 
Duhhh, ukweli unauma, nimetonesha kidonda! Mamaaa.

mkuu zomba usihofu system at work.... tutakoprotect.... jiunge tu na chama la nguvu ya umma..... utapata thawabu....
 
zomba naona unajitahidi kushawishi nguvu ya uma kubadili mwelekeo ila ni ngumu, ila big up hatuewzi kukubaliana kwa kila jambo
 
kichefuchefu..............,unajisikiaje unvyokuwa haupat support,naona thread zako unatetea mwenyewe no body ansupport ur ideas.......duhhhhhhhhhhhhhhh
 


Hiyo red umekosea ni: zomba
JF Senior Expert Member
 
kichefuchefu..............,unajisikiaje unvyokuwa haupat support,naona thread zako unatetea mwenyewe no body ansupport ur ideas.......duhhhhhhhhhhhhhhh

Kwa sababu wananikubali.
 
zomba naona unajitahidi kushawishi nguvu ya uma kubadili mwelekeo ila ni ngumu, ila big up hatuewzi kukubaliana kwa kila jambo

Mnakataa kuwa kulikuwa hakuna kupingana kususa au kutokususa hotuba ya Rais na wengine wakasusa kuingia ndani ya ukumbi?
 
nenda ukaanzishe site yenu na mkwere mwenzio ndo uwe una post hizi thread zako za kipuuzi...............sawa zoba,mana u olwez controlled by feelings n not reasoning.

Unakataa ukweli?
 

Wenzenu Arusha wamedanganywa na kina Slaa huko wakala mkong'oto wengine wakajifia bure bila faida, kisa nini? kudanganywa! halafu, hooo sie hatudanganyiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…