Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,727
- 272,667
naomba yeyote mwenye kujua mahali ninapoweza kupata bendera ya tanganyika anielekeze .
Serikali ni2 tu hatuna haja ya serikali nyingi kama 2 zinatushinda tuongeze matatizo mengine tena!!chamsingi ni kuweka mikakati madhubuti ili kutatua matatizo ya muungano,wapinzani wanataka serikali 3 kwa lengo la kupata upenyo wa madaraka,lakini hicho kitu hakipo na hakitawezekana naomba viongozi wa ccm kuwa mbunge yeyote wa ccm anaye saliti msimano huu wa chama akuchukuliwe hatua kali za kinidhamu,by katibu hamasa na chipukizi Rungwe
naomba yeyote mwenye kujua mahali ninapoweza kupata bendera ya tanganyika anielekeze .
Sasa kama unatumia kigezo cha kumudu GHARAMA, si bora tuwe na SERIKALI MOJA sasa. Tanganyika tupo tayari, hembu kaliongelee hilo Zenji usikie mziki wake. Wanaogopa sana kuwa WILAYA mojawapo ya mkoa wa VISIWANI (utakaojumuisha MAFIA, UNGUJA na PEMBA).
View attachment 140267
Mkuu nimesikia Kama muungano utavunjika Dar na Tanga zitakuwa ni sehemu ya Visiwani. Kuna ukweli katika Jambo Hilo?
CCM wakijibu haya maswali (1. kwanini kwetu ni kwao na kwao kwao, 2. Kwanini serikali yetu ni yao na serikali yao ni yao?), basi nami nitakuwa muumini wa serikali mbili.
Serikali ni2 tu hatuna haja ya serikali nyingi kama 2 zinatushinda tuongeze matatizo mengine tena!!chamsingi ni kuweka mikakati madhubuti ili kutatua matatizo ya muungano,wapinzani wanataka serikali 3 kwa lengo la kupata upenyo wa madaraka,lakini hicho kitu hakipo na hakitawezekana naomba viongozi wa ccm kuwa mbunge yeyote wa ccm anaye saliti msimano huu wa chama akuchukuliwe hatua kali za kinidhamu,by katibu hamasa na chipukizi Rungwe
Pia tusiwaite majina ya ajabu wanaopendekeza Serikali tatu kama vile ni wa kundi la G55, ni waroho wa madaraka, wanataka kuvunja muungano n.k. Tunajatibu kutafuta mwafaka, la sivyo tunaweza kupata Katiba nzuri lakini isiyokubalika na pande zote. Tusifuate itikadi za kivyama. Hao wasomi wanaosemwa ukiwasikiliza nao wamegawanyika na bahati mbaya wengine ni watumishi tu wa makundi yao - unena wanavyoelekezwa!Ni vema tukawa tunajadili hili jambo bila kuingiza ITIKADI. Hili swala la serikali 3 siyo la CHADEMA, bali zaidi ya 61% ya waliotoa maoni. Inamaana hayo maoni yalitolewa kwa kufata ITIKADI? Na je, hawa wabunge wengine wa CCM wanaounga mkono serikali 3 kinyume na azimio la chama chao ni CHADEMA hao? Ni vema tukatumia hoja kujadili hili bila kujali ni msimamo wa chama gani. KATIBA tunayoipigania siyo ya chama chochote, bali ni ya wananchi wote wa TANZANIA.
Ni bahati mbaya kauli hizi ndizo zinatugawa zaidi. Unafikiri wanaopendekeza Serikali mbili ndio hawataki madaraka. Ikiwa tuna take muungano kwa maana ya muungano kwa nini tusiende kwenye Serikali moja. Nchi mbili zimeungana na kuwa kitu kimoja ziongozwe na Serikali moja na siyo mbili ambazo hazitatatua manung'uniko (na wala siiti chnagamoto au matatizo) yaliyopo. Ukiangalia manung'uniko hayo yote ni ya madaraka tu. Kuna watu wanaogopa tukienda Serikali moja itakuwa ngumu kwao kupata madaraka,Serikali ni2 tu hatuna haja ya serikali nyingi kama 2 zinatushinda tuongeze matatizo mengine tena!!chamsingi ni kuweka mikakati madhubuti ili kutatua matatizo ya muungano,wapinzani wanataka serikali 3 kwa lengo la kupata upenyo wa madaraka,lakini hicho kitu hakipo na hakitawezekana naomba viongozi wa ccm kuwa mbunge yeyote wa ccm anaye saliti msimano huu wa chama akuchukuliwe hatua kali za kinidhamu,by katibu hamasa na chipukizi Rungwe
CCM ina wezi wazuri au wasomi wazuri, hebu sahihisha mkuusiyo swala la mbunge mkuu, CCM wana wasomi wazuri sana, wanajua athari za serikali tatu kama ambavyo makundi mengine wakiwemo wanazuoni wanaungana na CCM kuilaani hoja ya serikali tatu kwa vile haina mashiko katika mstakabali wa umoja, undugu ulioasisiwa na viongozi watangulizi wa taifa hili teule la Mungu. Inawezekana kabisa Mwandishi wa habari aliwahoji wana-CCM wafu kama akina MBOWE na weingine waliokumbatia kadi za CCM huku wakiwa upinzani.
Ni kweli kabisa hata mimi naungana na wale wote waCCM wanaotaka Serikali 3Mimi ni ccm pure..ila naunga mkono serikali tatu , kwan wazanzbari hawataki serkali 2 suluhisho ni 3. Siungi serikali moja kwan wazenj wanakiu ya kujitawala. Ila moja ingefaa zaidi.