Mpare Na Pesa Benki

X-PASTER

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
11,610
1,810
Kuna Mpare mmoja anaishi karibu na Benki, baada ya kushawishiwa kwa muda mrefu na ndugu na marafiki zake aweke pesa Benki kwa usalama wa pesa zake, kwa taabu sana akakubali kuweka pesa Benki. Kuanzia siku hiyo alizoweka hizo pesa, usiku kucha anakesha dirishani na filimbi mdomoni, kila akipita mtu karibu na hiyo Benki, Mpare wa watu anapiga filimbi kuwaamsha walinzi piii... piiiii....! Wote woga anaogopa, asije mtu akaiba pesa zake....!
 
duh!
Unamaanisha mchaga??????
Ukiongelea mabo ya malavidavi au ubahili ndio utaje wapare...na kwenye mambo ya kibeeenki wataje kina massawe
 
duh!
Unamaanisha mchaga??????
Ukiongelea mabo ya malavidavi au ubahili ndio utaje wapare...na kwenye mambo ya kibeeenki wataje kina massawe
Kaka Issue imemtokea mzee wa Kipare!
 
mpare na msambaa hawana tofauti
sema wapare wanapenda sana kesi, kesi na kuku anaweza akauza kiwanja ili amlipe wakili

Aisee! hii ni kweli nimeyaona kwa majirani zangu hao wapare!! hehehehe! wanapenda kesi hao! duuhhhh!!hehehehehehh
 
Back
Top Bottom