johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,994
Sijasikia Viongozi wa CCM na Chadema wawapo Mtwara hususan Masasi wakienda kuzuru kaburi la hayati Ben Mkapa
Lakini kila Kiongozi anayeenda Geita lazima ataomba kuzuru kaburi la Shujaa Magufuli.
Hata Tundu Antipas Lissu aliomba kuzuru kaburi la Shujaa Magufuli ila UVCCM wakaleta figisu ila kuna Taarifa Kwamba alienda kimya kimya na paroko😂
Mlale Unono!
Lakini kila Kiongozi anayeenda Geita lazima ataomba kuzuru kaburi la Shujaa Magufuli.
Hata Tundu Antipas Lissu aliomba kuzuru kaburi la Shujaa Magufuli ila UVCCM wakaleta figisu ila kuna Taarifa Kwamba alienda kimya kimya na paroko😂
Mlale Unono!