...Hizo barua ukiziangalia kwa makini utagundua walio ziandika hawana akili kabis a na niwatupu kichwani.....
He, hii ni hatari iliyoje? Hivi ni kwa nini Waislamu wako hivi jamani? Mbona hawezi kuishi bila vituko? Ok. Tuamini kuwa mkakati wao unafanikiwa. Ina maana watawapa wanafunzi wa Kiislamu marks za bure? Hawa wtu Mkapa aliwapa kilichokuwa chuo cha TANESCO bure wakakifanya chio kikuu chao lakini Wakristo waliangalia tu. Ndalichako angerudi tu mlimani aokoe maish yake. Kama ambavyo wameharibu wizara ya elimu kwa kushusha alama za ufaulu ndivyo itakavyokuwa na kwa NECTA na mwisho wa siku Watanzania watashindwa kushindana kwenye ulimwengu wa wasomi. Wajiulize. Uganda ilikuwaje baada ya kutawaliwa na mwislamu mwenzao? Bila shaka jibu wanalo.
huyu Dr alinifundisha masomo ya Measurement and Evaluation in education EP 202 & 402.
nilimkubali sana sana kwenye taaluma yake hii.
sijui ni kosa gani alilolifanya hadi watu wamwone kwamba hafai lkn kwa taaluma yake hii juu ya mambo ya mitihani watu wasimbeze manake anaijua vyema na yuko competent sana kwenye haya mambo ya testing and eveluation
Na Waziri Kawambwa akatoa tamko lifuatalo:
huna akili timamu wewe, somo mlilo dai kuwa amewahujumu ni la dini ya kiislamu, sasa swali, hilo somo lina umuhimu gani kwa Dr. Ndalichako?
Hoping u r ok Maadam.Usiwe extremest kiasi hiki.Akiondolewa Dk Ndalichako hakutabadili hali kwani ni sawa na kupaka rangi ukuta ukidhania umeziba nyufa. Kikubwa ni kuzingatia yote ILIM DUNIA na ILIM AKHERA hebu jaribuni ilo kama hamtafanikiwa niite mchochezi.Who is Joyce Vs[(Kikwete,Bilali,Shein,Seif ,Kawaambwa),Rashid Othman,Saidi Mwema et al]
Nilikuwa najitahidi ku-scroll ili nione comments zako kuhusu mada hii, mbona michango yako ni ya maana kwenye threads zingine lakini thread inayohusu uislam maarifa yako yote hupotea na kuongea utumbo mtupu. haya mtoeni Dr Ndalichako mmlete muislam mwenzenu awagawie marks za bure
Baadhi ya waislam hawaelewi chanzo cha matatizo yao...marekani akipiga Iraq wanasema uislam unahujumiwa, marekani hiyo hiyo ikimpa Lipumba uenyekiti wa wachumi duniani wanachekelea na kujigamba...marekani hiyo hiyo ikimwita kikwete "kaka" na kukumbatiana nae, meno yote nje kwa furaha.
Nyie watu sijui ni nani aliyewaloga, hamjui ku-site tatizo. Hata kama ni kweli Ndalichako anatatizo ishu sio kumuattack kidini, mngeraise ishu kiutendaji kwani kuna dini imemtuma afanye hayo makosa mnayosema??
Jifunzeni kusolve problems in a right way..ishu za kitaaluma zitatuliwe kitaaluma....ishu za security zitatuliwe kwa namna ya security.....
Huyu mama bogus kabisa hivi nyie mnaomtetea ni HAKI KWELI SOMO LIGAWIWE MARKS KWA AVERAGE YA 3 BADALA YA 2?hata kama formula ilikosewa jee waliwahi fanya manual kuhakiki majibu?jee ni kwa muda gani formula hiyo imewanyima A na B wanafunzi wa islamic studies?nina uhakika huyu mama angekua muislam angeshatolewa siku nyingi pale necta kwa nguvu ya kanisa iliyonayo nchi hii.kwa kuwa ni mkristo mpaka leo anakula mshahara,inanikumbusha madudu ya ngeleja lakini wakristo hawayakuyaona mpaka rais alipobadilisha baraza
Mheshimiwa Said Mohamed Mtanda, mbunge wa Mchinga (CCM) ni mhusika wa karibu kabisa wa mpango huu.
hatuhitaji malumbano yote haya. tunchohitaji ni kimoja tu nacho ni kufuta masomo yote ya dini kwa shule za serikali kuanzia primary mpaka kidato cha sita, kupiga marufuku uvaaji au ubebaji wa aina yoyote ya nguo au kitu chochote chenye kiashiria cha dini. kuzuia baraza la mitihani na wizara ya elimu kujihusisha na mitaala ya dini au kutunga mitihani ya dini au kusahihisha mitihani yoyote ya kidini.
Masomo yoyote ya kidini katika mashule yanayoendeshwa na taasisi za kidini kutokutambuliwa au kujumlishwa katika matokeo ya mitihani yakitaifa.
NI MUHIMU KUTENGANISHA MASUALA YA KIDINI NA ELIMU YETU.
Bi mkubwa, kwani maksi za wasio waislam waliofanya somo hilo hazikukosewa?Marks za Waislaam, uko wapi wewe? huwezi basi kufikiri hata kidogo?
Bi mkubwa, kwani maksi za wasio waislam waliofanya somo hilo hazikukosewa?
Usitake kuchekesha jukwaa, ni wangapi au asilimia ngapi ya wasio Waislaam wanaosoma Islamic Knowledge?
Kwani Islamic Knowledge ni milki ya waislam tu? mbona kuna waseminari wa kikatoliki ambao huisoma pia.Usitake kuchekesha jukwaa, ni wangapi au asilimia ngapi ya wasio Waislaam wanaosoma Islamic Knowledge?
wanasoma Bible Knowledge...haikukosewa? au kwa kuwa walikaa kimya.