Manyerere Jackton
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 2,438
- 4,461
Kwa wiki mbili sasa maeneo ya Kibamba, Kwembe, Luguruni, Mbezi na mengine mengine hawapati maji kutoka Dawasco/Dawasa. Hali ni mbaya sana. Watu hawaogi wala hawafui. Wakubwa wako kimya. Waziri wa Maji ndiyo kwanza anapokewa kwa mbwembwe na wapigakura wake kwa "kufanya kazi nzuri bungeni". Pengine huu ni mpango wa kumkomoa Mnyika (Mbunge wa Ubungo) ili aonekane hafai.
manyerere
manyerere