Mpango wa kumkomoa Mnyika wafanikishwa...

Mpango wa kumkomoa Mnyika wafanikishwa...

mnyika mpuuzi yemwenyewe kazi yake ni kutna PR zsizo za mcng hana nia ya dhat ya kumaliza tatzo la maji,ana kipenda chama kulko jmbo..
Maji yatakuja vipi wakati mafisadi wanapiga hela sasa mbunge anapambana nao ili maji yaje nyie mnampiga majungu-tazama sasa deni ndio hilo 450,000 -Mikoani tunategemea hoja nzito toka kwenu kwa mstakabari wa taifa -wapi na wapi mbunge na maji Wazir mwenye dhamana mnamshindwa nini kumfuata kwa maandamano au na hilo linahitaji mbunge-punde tutasikia hata kupanda kwa bidhaa mbunge anahusika-Tz bwana Haya bwana
 
Kwa wiki mbili sasa maeneo ya Kibamba, Kwembe, Luguruni, Mbezi na mengine mengine hawapati maji kutoka Dawasco/Dawasa. Hali ni mbaya sana. Watu hawaogi wala hawafui. Wakubwa wako kimya. Waziri wa Maji ndiyo kwanza anapokewa kwa mbwembwe na wapigakura wake kwa "kufanya kazi nzuri bungeni". Pengine huu ni mpango wa kumkomoa Mnyika (Mbunge wa Ubungo) ili aonekane hafai.

manyerere

sasa kwani mnyika ni dawasco? Au kila kitu mpaka aseme bungeni ndo itaonekana amefanya?
 
mnyika mpuuzi yemwenyewe kazi yake ni kutna pr zsizo za mcng hana nia ya dhat ya kumaliza tatzo la maji,ana kipenda chama kulko jmbo..

kichwa chako kibovu ndo maana umesahau hoja binafsi ya mnyika aliyoileta bungeni kuhusu hali mbaya ya maji jijini dar lakini spika wenu wa magamba akaipiga chini, halafu unatunisha mishipa kuwa mnyika hawajibiki!! Hauwezi kuwa ubongo wako haujahamia kwenye kibofu cha mkojo!!
 
jamani kwani temeke vp maji ya kumwaga ee maana kila siku mnyika mnyika vp nyie magamba? hilo jamani ni jembe na kama mtamwacha mnyika basi nitamuomba aje kwetu. hatuna wabunge kama mnyika.
 
Kwa hali ilivyo sasa soon yatatokea yale yaliyotokea mabibo hostel mwaka 2008 kama sikosei, suala la maji ubungo ni mziki mnene kwa Mnyika kwani hujuma ni kubwa mno, nina wiki kama tatu maji hayatoki huku makubuli, wakikaza wk moja tena machafuko huenda yakatokea
 
kwa wiki mbili sasa maeneo ya kibamba, kwembe, luguruni, mbezi na mengine mengine hawapati maji kutoka dawasco/dawasa. Hali ni mbaya sana. Watu hawaogi wala hawafui. Wakubwa wako kimya. Waziri wa maji ndiyo kwanza anapokewa kwa mbwembwe na wapigakura wake kwa "kufanya kazi nzuri bungeni". Pengine huu ni mpango wa kumkomoa mnyika (mbunge wa ubungo) ili aonekane hafai.

Manyerere

wao walikuwepo ubungo miaka 50 iliyopita mnyika kaka hata miaka 10 bado iweje waseme kashindwa kitu kilicowashinda kwa miaka 50?
 
Hakuna mpango wa kumkomoa mnyika anajikomoa mwenyewe kwa mapepe yake. Kiongozi anatakiwa awe na busara katika kuyaendea mambo. Mnyika anakosa hiyo kitu
 
mnyika mpuuzi yemwenyewe kazi yake ni kutna PR zsizo za mcng hana nia ya dhat ya kumaliza tatzo la maji,ana kipenda chama kulko jmbo..

Hivi TandIka maji yanatoka, maana tangu miaka ya 70 maji ya bomba wanayasikia tu? Na Kigamboni je?
 
Kwa akili zao fupi ccm wameizuia Dawasco kusambaza maji maeneo hayo wakidhani wanamkomo Mnyika lakini ukweli ni kwamba wananchi wakaazi wa maeneo hayo wanatambua juhudi na jitihada za mbunge wao na hawana shaka naye.
Kitakachotokea ni wananchi kuichukia Dawasco pamoja na serikali ya ccm.

Mwita kwani hatuwezi kujipanga na viongozi wetu tukachangisha tu hela then tukachimba visima kadhaa? Ili wananchi wapate maji yakufulia nakupikia? Kisima ni m4.2 na gharama za tank ni kama laki8 kwa ltr5000 kila sehemu tunaweka visima na tank na ulizi watatoa wananchi wao wenyewe,serikali hii haina nia nzuri na upinzani trust me mungu kasaidia tu kufika hapa tulipo na daima hamtupi mja wake "Together we can"change ni mimi na wewe
 
DAWASCO mlete maji msilete, hamtubadili mawazo juu ya Mnyika wetu, tunamwamini, tunamthamini,tunampenda na ndiye mbunge wetu wa Maisha.
 
Dar yote hakuna Maji, in fact nchi nzima haina maji, Hali ni mbaya sana! sijui watu wanaishije, watanzania wanajua kuzoea shida
 
thanx god maji kwangu mbezi mwisho yameanza kutoka muda huu tena kwa nguvu ya ajabu .jjm.juu .mzee wa kwembe kati.usiogope yatatoka watapata wapi fedha wasipouza maji ndio biashara yao.madin.mafuta,gesi.umeme vimewashinda
 
Wapiga kura wa Ubungo wanaelewa fika kuwa Mbunge wao alipeleka hoja ya tatizo la maji bungeni na CCM ikaweka hoja kapuni!! Tatizo sio Mnyika, ni CCM! Tunajiandaa kuwaadhibu kwenye uchaguzi ujao!!
 
Kwa wiki mbili sasa maeneo ya Kibamba, Kwembe, Luguruni, Mbezi na mengine mengine hawapati maji kutoka Dawasco/Dawasa. Hali ni mbaya sana. Watu hawaogi wala hawafui. Wakubwa wako kimya. Waziri wa Maji ndiyo kwanza anapokewa kwa mbwembwe na wapigakura wake kwa "kufanya kazi nzuri bungeni". Pengine huu ni mpango wa kumkomoa Mnyika (Mbunge wa Ubungo) ili aonekane hafai.

manyerere
sijakuelewa kabisa. nijuacho ni kuwa tatizo la maji kimara ni tangu uhuru. serikali haijawahi kuwekeza vya kutosha hapo. suala la mnyika mara kafanya hiki au kile ni kutafuta umaarufu tu, hamna lolote. tunahitaji nia ya dhati ya serikali kuwekeza na wala usitarajie kuwa tatizo la maji ubungo litaondoka kwa sababu ya mnyika
 
mnyika mpuuzi yemwenyewe kazi yake ni kutna PR zsizo za mcng hana nia ya dhat ya kumaliza tatzo la maji,ana kipenda chama kulko jmbo..

hongera kwa kujua kuwa mnyika ni mpuuzi,! Bt wewe hujajijua kuwa ndiyo mpuuzi namba moja?
 
Back
Top Bottom