sasa watajuaje kuwa daladala flani linamilikkiwa na mtu wa chadema??... Hata ivyo, sio swala la kuwaambia watu wa chadema wajipange kufilisika, bali waweke vizuri daladala zao na wahakikishe wanafuata sheria zote za barabarani na madereva wao kuwa makini na kuwa na vifaa vyote necessary vinavyotakiwa katika gari...eg fire extinguisher, necessary stickerz n.k