Mpango uliovuruga mbwembwe za EX-Girlfriend

Kwa maana nyingine ufeki kutokuumia hata kama unaumia? Mbona kama unapropose kitu kilekile ulichokikataza..
 
Hiyo ni sawa Liverpool alivyokubali kupigwa za kutosha na astonvilla


Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
ahahaha,nadhani na mzigo alikupa ukala
 
Ni wanawake wajinga wajinga wasio na msimamo tu ndo huona wivu na kukubali kuvua eti kisa kakuona na mwanamke mkali kumzidi, mi nikikukatalia hata uje na Lori la mfanano wa malaika nitakukataa tu.
 
Wengine wanakuwa hawana sababu ya msingi kukataa, ndo maana ukitikisa kidogo tu nao hao wanaingia kingi, ila Kama unazo sababu mahsusi za kumkataa mtu na unajielewa pyeeeee atakudolishia wazuri wote na wewe ukibaki na msimamo huo huo.
 
Ujumbe murua!
 
ndio jf ilivyo wazoeeni hawa
 
furaha ya kweli ipo kwenye ushindi siku zote. Iwe kiuchumi, kisiasa au kiimani! Winning is happiness...
 
Kachero mbobezi
 
Ni wanawake wajinga wajinga wasio na msimamo tu ndo huona wivu na kukubali kuvua eti kisa kakuona na mwanamke mkali kumzidi, mi nikikukatalia hata uje na Lori la mfanano wa malaika nitakukataa tu.
Kwanini unafikiri wewe ndiyo mwenye akili na hao wengine wajinga?
 
Wengine wanakuwa hawana sababu ya msingi kukataa, ndo maana ukitikisa kidogo tu nao hao wanaingia kingi, ila Kama unazo sababu mahsusi za kumkataa mtu na unajielewa pyeeeee atakudolishia wazuri wote na wewe ukibaki na msimamo huo huo.
Ni sawa unaweza kuwa mzuri sana kwenye eneo hili ila kuna eneo upo dhaifu sana.
Chukua dakika 2 tu kuwaza upuuzi uliowahi kufanya katika mapenzi.
 
tatzo unachukulia sana vitu serious vingine ni vya muda huo huo tu na vinapita
 
tatzo unachukulia sana vitu serious vingine ni vya muda huo huo tu na vinapita
Kwani kuchukulia hii issue serious kuna tatizo? Nimechukulia serious na nimeweza kuchangia, kuelimisha wengine, na kuelimika pia. Watu kama ww ambao kila kitu kwenye maisha mnaona ni mzaha hamfanikiwi kabisa. Badilika ndg yangu. Vitu vya kupuuzia ni kama mtu anayekufuatilia maisha yako, watu wakikuongelea nk. Hayo ndio mambo ya kupuuzia sababu ukiya-mind yatakupotezea muda. Ila mambo yanayoathiri maendeleo, watu kama sisi tunayachukulia serious sana sababu napenda kuona community yote inakuwa na maendeleo.
 
Mambo ya kishamba sana...ingelikua mimi ningekausha tu kama unaenda sehemu peke yako unaenda peke yako..mambo sijui kushindana na mwanamke unawaachia wanawake...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…