Mpango uliovuruga mbwembwe za EX-Girlfriend

Hakuna asiye na matatizo. Matatizo yangu sana sana ni ku-deal na wafanyakazi. Sometimes wanavuruga kazi. Sometime si waaminifu nk. Ila matatizo ya $$$ kweli sina. Namshukuru sana Mungu.
Naona na wewe unaigiza kuwa huna matatizo nyuma ya keyboard
 
Unaona na wewe unaleta maigizo vilevile katika maisha
 
Wewe unaongelea mfano sahihi na upo sawa kabisa ila katika case study tofauti.

Imagine jamaa angekua mnyonge hapo mpaka sasa angekua anasononeka kwa maigizo ya huyo bibie...
 
Kwa nini uruhusu mtu akupe stress? Kila kitu ni uamuzi. Na ni vizuri kuwa na stress-coping mechanisms ambazo hauhitaji kuita mtu aigize na ww. Ni vizuri kujifunza namna ya ku-handle stress ww mwenyewe au kwa ndg ambao hawahitaji kulipiwa bajaji nk..
Wewe unaongelea mfano sahihi na upo sawa kabisa ila katika case study tofauti.

Imagine jamaa angekua mnyonge hapo mpaka sasa angekua anasononeka kwa maigizo ya huyo bibie...
 
Wewe unaongelea mfano sahihi na upo sawa kabisa ila katika case study tofauti.

Imagine jamaa angekua mnyonge hapo mpaka sasa angekua anasononeka kwa maigizo ya huyo bibie...
Hapna jamaa yupo sahihi kabsa kwa mfano wake...ktk maisha kujiamini ni ktu kizur...jamaa angejiamini angekuwa really asinge fake naamini hyo mwanamke angejiona mjinga ,kwanza jamaa angejiongezea heshima na ule uanaume.
 
Kwa nini uruhusu mtu akupe stress? Kila kitu ni uamuzi. Na ni vizuri kuwa na stress-coping mechanisms ambazo hauhitaji kuita mtu aigize na ww. Ni vizuri kujifunza namna ya ku-handle stress ww mwenyewe au kwa ndg ambao hawahitaji kulipiwa bajaji nk..
Usiwaze sana, hii ni social forum
Watu wapo tofauti, soma kilichoandikwa na endelea na majukumu yako, watu hawafanani, kila mmoja ana mtazamo wake.

Halafu mwisho hizi ni stori tu jamaa ameamua ku-share. Inawezekana ikawa kweli ama ni fiction tu.
 
Tar 28 kura zote kwa Magufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…