Mpangilio wako wa pesa ukoje?

Naweka kwenye kalenda tu kila kitu
Mwisho wa mwaka naangalia salio

Hii ya kuangalia salio mwisho wa mwaka kwa mtu mwenye matumizi ya hovyo anaweza kujikuta analia
 

mwaibile kama mwaibile
 
Hongera mkuuπŸ˜ƒ

Hii ya kuangalia salio mwisho wa mwaka kwa mtu mwenye matumizi ya hovyo anaweza kujikuta analia
me sina mpangilio naponda Mali tu kufa kwaja...
 
Mi kila nikipangilia hela naona kama napangwa mimi.
Kwanza hela zenyewe zinakuja bila mpangilio!
 
Ngoja kwanza nitafute hizo Pesa,
Nikizipata nitarudi kuchangia huu uzi,

Moderator tafadhali msifute huu uzi.
 
Mi sina mpangilio kwakweli na nimejaribuuuu ila wapiiiii.

Mwisho nikaamua niweke jitihada maeneo mawili tu kufanya savings na kutenga kiasi kidogo kila mwezi ya kujispoil baaaass.

Bro umesema una mimba?
 
Nikijipata nitaanza kutafuta uzi wako na kupitia kwa makini kuchukua madini , sasa sina hata hela ya kupanga bajeti status yangu ni KKB (Kula Kulala Kwa Baba )
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…