Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
hii ni baada ya kutaka kuhamishwa kwa nguvu.mpangaji huyo alifyatua risasi hewani ili kuwafukuza jamaa wa auction mart ambao mara nyingi hutoa vitu nje na kutia makufuli.kweli tunaelekea pabaya watu wameanza kuwa wababe.kwa habari zaidi tune TBC mida hii