Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,741
- 861,138
Hajaenda kuzika yeye?
Hajaenda una lingine?
Hajaenda kuzika yeye?
Umeelewa kilichoelezwa hapo au hivyo viroba ulivyokunywa ndio vinakuchanganya, yeye ni nani hadi awatishe hao watu kuwa wakiichagua ccm watarudishwa burundi kama si uwendawazimu ni nini,nashauri awekwe lupango hadi uchaguzi utakapofanyika ndio wamtoe
Hii nchi sio huru kabisa...!!
Utumwa sasa basi...!!
CCM out..!!
Yah! Kabisa.....Tarehe 25/10/2015 sio mbali tuvumilie tu
Kosa na chanzo?
Kosa na wapi?
Kwa sheria ipi?Umeelewa kilichoelezwa hapo au hivyo viroba ulivyokunywa ndio vinakuchanganya, yeye ni nani hadi awatishe hao watu kuwa wakiichagua ccm watarudishwa burundi kama si uwendawazimu ni nini,nashauri awekwe lupango hadi uchaguzi utakapofanyika ndio wamtoe
Hata huku Iringa kwa wanyalukolo tutamchagua Lowassa! Sanya Juu na Machame CCM haina wagombea!??
Kama unamaanisha Sanya Juu na Machame hapo sawa, lkn kwa TanZania nzima utasubiri sana!
figganigga amesema.....kuwatoa hofu iliyojengwa wasipopiga kura kwa CCM watarudishwa Burundi.
utavumilia sana, ukishtuka una mimba !