figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,888
Waziri wa zamani wa mambo ya ndani, Laurence Masha, anashikiliwa na Jeshi la Polisi
Mkoa wa Katavi.
Masha anashikiliwa kwa kosa la kufanya mikutano kwenye kambi ya Wakimbizi.
Akiwa Waziri Mambo ya Ndani, aliwapa uraia, Walikuwa 165,000. Alikwenda kuwatoa hofu iliyojengwa wasipopiga kura kwa CCM watarudishwa Burundi.
Mkoa wa Katavi.
Masha anashikiliwa kwa kosa la kufanya mikutano kwenye kambi ya Wakimbizi.
Akiwa Waziri Mambo ya Ndani, aliwapa uraia, Walikuwa 165,000. Alikwenda kuwatoa hofu iliyojengwa wasipopiga kura kwa CCM watarudishwa Burundi.