Mpaka wa Malawi na Tanganyika uko hapa!!!!

Ramani hizi warushie vijana wetu wa JW. Sasa hivi tunaenda kukalia maeneo hayo
 
Wakiiona hii wataanzisha mazungumzo mapya ili mpaka uwe walau katikati ya Ziwa !!

Hicho ndicho kinachotakiwa, wao walifanya juhudi kuchakachua ramani nasi tunawapa hii, kwa sasa sio kudai nusu ya ziwa Nyasa ila na kile kipande cha ardhi
 
Mkuu sijaelewa, hiyo ramani ilikuwepo au umeibuni kama alivyotaka Idd Amin? Kama ilikuwepo kabla ya ile mikataba feki ya kikoloni, basi tunayo haki ya kuanza kudai sehemu yetu
 
Nilishtuka sana....nilidhani imetolewa na Idara ya ramani Tanzania. Na kama Joyce Banda hajaiangalia vizuri anaweza kuzirai.
 
Chewambonde embu nandalie baskeli ntoke naona watu wanalianzisha tena huku.. Mie sitaki tena tenda Za kuzika ..
 
hii RAMANI MPYA NI YA KWELI,NAUNGA MKONO NCHI YETU TURUDISHIWE MARA MOJA.HAKUNA MJADALA KATIKA HILI.NASHUKURU SANA KWANI MIMI BINAFSI NILITAMANI TUCHUKUE NCHI YOTE.KWA WAZO LA KUCHUKUA SEHEMU ILIYOONYESHWA KATIKA RAMANI YA LEO NAKUBALIANA SANA.
 
hakuna haja ya kupigana ni bora tu tukawapa haki yao wamalawi yasije yakatukuta kama ya kule zanzibar wanataka kupumua sasa.
 
hii RAMANI MPYA NI YA KWELI,NAUNGA MKONO NCHI YETU TURUDISHIWE MARA MOJA.HAKUNA MJADALA KATIKA HILI.NASHUKURU SANA KWANI MIMI BINAFSI NILITAMANI TUCHUKUE NCHI YOTE.KWA WAZO LA KUCHUKUA SEHEMU ILIYOONYESHWA KATIKA RAMANI YA LEO NAKUBALIANA SANA.

Werrah, Hiyo ramani Nzuri sana. Joyce arudishe eneo letu. Kwanza upande Huyo wa kaskazi kuna wanyakyusa/ wangonde. Ambao kwa sehemu Kubwa wanaishi Tanzania
 
Back
Top Bottom