DON KILLUMINATI
Senior Member
- Jan 2, 2011
- 192
- 83
Hii kitu inaukweli ndani yake. Kwanza wamalawi wanaoishi Kaskazini wanataka wajitenge na Malawi wawe Tanzania. Go and ask.
Hawa Wamalawi wasintanie kabisa, Babu yangu kasema Mpaka wa Tanganyika na Malawi uko hapa
View attachment 71989
View attachment 71987
Hizi sehemu zote zetu hizi
- Karonga
- Rumphi
- Mzuzu
- Chitipa
- Nkhata
Tena wakae mbali maana tutakuja kudai sehemu yetu haiwezekani bana!!!!
Hii kitu inaukweli ndani yake. Kwanza wamalawi wanaoishi Kaskazini wanataka wajitenge na Malawi wawe Tanzania. Go and ask.
Nimependa hii, Mnwelle Upo?
Source na authority ya ramani hiyo ni nani?Ilichorwa lini?Nasi tuifuatie huko huko
Mtanzania wa kumbumba huyu, watu kama nyie huwa wasliti sanaWatanzania wenzangu mnanishangaza kitu kimoja tu Ardhi yetu ni kubwa ni karibu kilometa za mraba million moja tumeshindwa kuitumia tunawagawia wazungu na waarabu sasa tunataka kumega ardhi ya Malawi ili tuwape wazungu are we really serious? mimi nadhani tungeweka pressure kwanza kwenye maeneo ambayo ardhi kubwa imemegwa na wazungu kama Arumeru kwa dogo janja wazawa wamilikishwe ardhi hiyo isipotosha ndio tufikirie kupanua mipaka yetu!
FirstLady1 ukiangalia vizuri huo mpaka utaona hilo tumbo hapo chini kuonesha kuwa mpaka sahihi ulikuwa hapoDuu good angalau umenifanya niisome ramani kwa umakini zaidi
Mtanzania wa kumbumba huyu, watu kama nyie huwa wasliti sana
Tena kali kwelikweli
Tabby inabidi tuenende nao sawasawa na wao wanachokitaka, Wanataka ziwa lote la Malawi/Nyasa, nasi yatupasa kudai hicho kijisehemu kirudi Tanganyika.
lazima tupiganie nchi yetu
Mbona hatujaambiwa hiyo ni ramani ya mwaka gani ? mbona tunaonyeswa tu mipaka, pia ufunguo ni muhimu , labda imechakachuliwa
Unga mkono JWTZ kulinda mipaka ya Nchi yetu! Unga mkono JWTZ kulinda mipaka ya Nchi yetu! - Page 6
RAMANI GANI HAINA HATA uFUNGUO?Tatizo hujui kusoma ramani kwa mtazamo wako hayo maeneo yapo Tanzania .Geographia ya darasa la 5 inatosha.