Tunatofautiana Schools of Thought. ..siwezi kukuita kima bali ndugu yangu. Ndugu yangu naomba ujue tu Dk. Mwinyi ni kiongozi makini na mwenye vision kubwa na Zanzibar.we kima kweli.. hebu rusha picha hapa ya hiyo bandari ya mpiga duri... Mwinyi sasa hivi anachoweza ni kuhutubia misikitini tu ndio maana anaitwa Shehe Nyundo
KWANI UJUI KUWA AKILI YA CCM ILIKUWA MAGUFULI sasa hivi sisiemu hakuna akili yamebaki majitu MAZOMBI TUHuyu bwana aliupata Urais kwa mgongo wa Magufuli na wala hakuwa chaguo la Wazanzibar. Alikuja na mikakati mingi ikiwemo ule maarufu wa kukuza Uchumi wa Bluu.
Ila baada ya kifo cha JPM kama amevurugwa hakuna analofanya. Tokea aingie madarakani hadi sasa hajajenga hata kilomita moja ya barabara wala kufanya chochote cha maendeleo.
Hawaamini kabisa wateuzi wake na amekuwa mtu wa kutoa maagizo tu bila ya kusikiliza ushauri.
Sasa hivi ana kazi ya kupita misikitini tu na kuhubiri mambo ambayo hata yeye mwenyewe hayatekelezi.
Wazee wa CCM wameapa kwamba atakuwa Rais wa miaka mitano kama JPM na watamuweka kando kwa njia yeyote.
Kwa mafisadi, wenye vyeti feki, wavivu ndio; alikuwa janga!Jpm alikua janga la kitaifa
Hakuwa na uwezo hata kiduchu wa kuwa kiongozi,kelele nyingi hakuna kitu,biashara,uchumi vilikufa,korosho,kunde,choroko nk alivuruga solo,alidai hakopi kakopa zaidi ya dola 8bKwa mafisadi, wenye vyeti feki, wavivu ndio; alikuwa janga!
Na hawa watu hawajui wao ndiyo sababu ya shida zooote hizi tulizonazo kama taifa kwakua wamekuwa vikwazo kwa maendeleo yetu kwa u feki wao, uwizi etcKwa mafisadi, wenye vyeti feki, wavivu ndio; alikuwa janga!
Amen!!!Na hawa watu hawajui wao ndiyo sababu ya shida zooote hizi tulizonazo kama taifa kwakua wamekuwa vikwazo kwa maendeleo yetu kwa u feki wao, uwizi etc
Unfortunately ndiyo ambao walikuwa kwenye maofisi ya umma, wana pesa za bundle kutupigia kelele humu...Adhabu yao ni kubwa kwakua wengi wamekufa kwaajili yao kwakukosa dawa tu za malaria, akjna mama kulala chini, watoto kukosa madarasa, elimu kushuka etc...Leo wanataka kutuaminisha anayewaondoa wao ni shetani wao ni malaika! Daah malaika wa nuru jina lake lingine ni mashetani...wana wa uovu watu wasio wema, unaona hata mioyo yao imejaa ghadhabu na uchungu mwingi hadi kugombana na maiti ambayo hata hawajui ipo wapi!
Na mimi napasha joto subiri Mungu aseme ndiyo watajua hawajui....Na mimi nikipata kibali cha Mungu hakuna atakayenitisha siyo mbinguni wala duniani...Napiga goti kuomba usiku na mchana!
Baada ya hilo tusi maisha yako yamebadilikaje?Mwisho wasiku mtakuja chimwaga tuwapatie rais..kupe nyinyi.
#MaendeleoHayanaChama
Mwamba anazidi kuiboresha Zanzibar.......Huyu bwana aliupata Urais kwa mgongo wa Magufuli na wala hakuwa chaguo la Wazanzibar. Alikuja na mikakati mingi ikiwemo ule maarufu wa kukuza Uchumi wa Bluu.
Ila baada ya kifo cha JPM kama amevurugwa hakuna analofanya. Tokea aingie madarakani hadi sasa hajajenga hata kilomita moja ya barabara wala kufanya chochote cha maendeleo.
Hawaamini kabisa wateuzi wake na amekuwa mtu wa kutoa maagizo tu bila ya kusikiliza ushauri.
Sasa hivi ana kazi ya kupita misikitini tu na kuhubiri mambo ambayo hata yeye mwenyewe hayatekelezi.
Wazee wa CCM wameapa kwamba atakuwa Rais wa miaka mitano kama JPM na watamuweka kando kwa njia yeyote.
Wazenji wengi walizoea umwinyi jamaa anawapa nafasi vijanaMwinyi ameziba mianya yote ya rushwa na ufisadi
Hospitali pia umempendelea mkuu maji tu yamemshida bora babu shein mara alfu laki kuliko hilo garasa la kizanzibara.Nipe ushahidi wa huduma za jamii alizoboresha wakati kashindwa hata kuboresha hospitali
Hana lolote huyu jamaa anapenda asujudiwe kuna tofauti ya kuongoza watu na kutawala huyo shehe nyundo ni mtawala anatamani angekuwa ndugu yake Jemshid.Mwamba anazidi kuiboresha Zanzibar.......View attachment 1988420
Jemshid hakuacha haya....Hana lolote huyu jamaa anapenda asujudiwe kuna tofauti ya kuongoza watu na kutawala huyo shehe nyundo ni mtawala anatamani angekuwa ndugu yake Jemshid.
Na uyo nyundo kayafanya lini .. usihangaike na mapicha picha mzee nakwmbia tena ilo kagara hana analoweza zaidi ya umwinyi kama jina lake.Jemshid hakuacha haya....View attachment 1988444
Una chuki naye labda.....sina haki ya kuuhoji moyo wako.....Na uyo nyundo kayafanya lini .. usihangaike na mapicha picha mzee nakwmbia tena ilo kagara hana analoweza zaidi ya umwinyi kama jina lake.
Kawa MB miaka kumi amefanya nini ? kama ubunge tu ameshindwa ata kuchimba kisima ataweza kujenga nchi, chuki nae sina ila ni garasa hatufai.Una chuki naye labda.....sina haki ya kuuhoji moyo wako.....
Mh.Mwinyi hana hata miaka 2 mamlakani.....
Siempre JMT
Kama hakufai subiri 2025 umtoe....🤣Kawa MB miaka kumi amefanya nini ? kama ubunge tu ameshindwa ata kuchimba kisima ataweza kujenga nchi, chuki nae sina ila ni garasa hatufai.
Na katikati ya hilo kundi la ng'ombe umo?Mwinyi na dada ake wote wanaongoza ng'ombe. Waache wafanye wanachotaka.
Zanzibar maji si wanatolea ruvu..?Ni kweli huyu mzaramo anazingua maji ndio imekuwa tatizo kubwa tokea aingie madarakani..kaja na mkosi
wewe una fikra za kijinga kweli..hi ikijengwa nahama nchi hivi unazuzuka ni hivi vipicha vya njozi.. Salmin Amour alisema anajenga Star cCity mpaka leo haikutokea.. Huwajui wanasiasa waliomzunguuka Mwinyi ni matapeli wakubwaJemshid hakuacha haya....View attachment 1988444