Hunyu
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,774
- 4,339
Nadhani hii ndio point, mengine mbwembwe tu. Pole, haiishagi hii mbonakwa maana kama kunila kanila sana, kuanzia kipochi manyoya ...
Nadhani hii ndio point, mengine mbwembwe tu. Pole, haiishagi hii mbonakwa maana kama kunila kanila sana, kuanzia kipochi manyoya ...
Ni jinga kuna jamaa yangu mmoja chuo alipata demu mkali balaa na alikua anampa jamaa kila kitu jamaa lijinga likatafut videmu vya pembn mrembo wawatu analia mda woteJamaa hana bahati kweli.. anampata dem cash madam bado anamuacha kirais rais hivyo nimeamini upele humkuta asiye na kucha.
Kama mlishatambulishana mpaka kwa wazazi, kwanini usiende huko alipo sasa hivi ukapata uhalisia wa mambo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani sana mkuu.!!Umeongea bonge la point hapa mkuu
Shukrani sana mkaka.!!We Dada Umeongea Point tupu.. Hongera kwa kua na upeo Mkubwa wa kuchanganua Mambo
Shukrani sana mkaka, na Amen kwa hilo..!!Asante sana dada, ni wanawake wachache sana wanaweza elewa hii, na hao midomo yao haina simile kamwe....na ukayatende pia......
Amina mkuu, shukrani sana!Huu ushauri haki ya nani hakuna mwanamke anaweza kuutoa isipokuwa jiniazi fulani aliyefundwa akafundika halafu anamuogopa na Mungu. Nimekupenda sana kwakweli naomba unikubalie tujenge maisha..
hapana...hakuna neno Mkaka....just shukrani sana KAKA....kiswahili lugha yetu tusiiharibu....tuitunze...thanksShukrani sana mkaka, na Amen kwa hilo..!!
Hili swali tatanishi.😀Amina mkuu, shukrani sana!
Nitafanyia kazi suala lako.!
Hivi troublemaker na KingY Mimi nilisema nimeolewa ama bado?? 😂
Maisha yana mambo mengi saana. Usikute unamlaumu hapa naye kule anamlaumu mtu mwingine.
Wanaume wengi wanaowaumiza wanawake walishaumizwa na wanawake fulani walichonacho kichwani ni wanawake walewale....tatizo kubwa zaidi hatuna utamaduni wa kuongea hisia zetu hili ni hatari saana maana nihisivyo na uhisivyo ni tofauti na hatuambizani.