Dr.adams faida
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,829
- 3,159
Mkuu nenda kwenye maada husika nenda kwenye maada husika.mkuu bado unatumia p5 mpaka leo.? aibu
Mkuu nenda kwenye maada husika nenda kwenye maada husika.mkuu bado unatumia p5 mpaka leo.? aibu
Kila mmoja ni mkali katika nafasi yake. Ronaldo de Lima alikuwa namba tisa yenye madhara ambapo mpaka sasa dunia imekosa mtu kama huyo.Hv kati ya Ronaldo de lima na Ronardinho nani alikua mkali zaid
Umeongea kweli Mkuu.
Lakini huyo Gaucho sio tuu kuuchezea mpira atakavyo pia Kwa Dribbling bado yeye anaongoza Mkuu.
Japo J.J Okocha ni kweli alikuwa vizuri alikuwa vizuri kwenye dribbling lakini suala ya kutumia nguvu hasa mipira ya juu hakuwa mzuri ukilinganisha na Gaucho. Gaucho alipenda mipira ya juu zaidi hasa kifuani kwani alikuwa na kontrol na nguvu/msuli wa kuwazuia maadui
Acha maneno weka ukweliJamaa anaweza kuwa timu pinzani na yako lakini akipata mpira unaweza kumshangilia.
Pia ndiye Mchezaji pekee ambaye anayeweza kumfanya Refa asahau kupuliza vilimbi kwa mbwembwe zake
Ahsante na huyo pere je maana sijawahi kushuhudia mechi zake ila nasikia sifa zake tuKila mmoja ni mkali katika nafasi yake. Ronaldo de Lima alikuwa namba tisa yenye madhara ambapo mpaka sasa dunia imekosa mtu kama huyo.
Ronaldinho ni moto mwingine kwenye kiungo na ni mchezaji mwenye 'individual' zenye faida kwa timu katika dunia ya soka ya sasa hakuna mchezaji wa staili ya Ronaldinho.
Bila shaka utakua Shabiki wa Manchester United wewe.......ndo maana huwa unalala kwenye mechi coz mmepotea saizi
Generally ni ronaldo de limaHv kati ya Ronaldo de lima na Ronardinho nani alikua mkali zaid
kwanza ujue maana ya Ronaldinho hapo ndo utajua nani mkaliHv kati ya Ronaldo de lima na Ronardinho nani alikua mkali zaid
Nini maana ya Ronaldiinho mkuu mm sifahamukwanza ujue maana ya Ronaldinho hapo ndo utajua nani mkali
Umeandika tu uko ulaya bila ya kutoa referenceHapa JF akichukua sitashangaa wengi ni mashabiki hawajui mpira.
Huko ulaya kwenye 10 bora utakutana na majina haya huku 1-3 wakibadilishana Messi, Maradona na Pele.
Huku nafasi zilizo baki utakutana na haya majina.
Best
Platin
Gerd Muller
Eusebio
Lothar Matthaurs
Puskas
Garrincha
Cruyff
Beckenbauer
Di Stefano
Zidane
Huyo Ronaldinho huko Brazil kwenyewe top 3 hayupo kuna akina De lima, Pele, Garrincha.
Ataingia Top ten ya Dunia kweli.!?!?
Labda top 10 ya shafii dauda.
Hapo sijamuona huyo Stephen ila wengine nimewaona hakuna kama dihno anafunga goli huku anakata maunowengi humu wamezaliwa juzi.
nataka waliowaona hawa wachezaji waje tuzungumze...zidane..stephen efernberg...dinho..
figo ...luis enrique...raul...rivaldo...nedved..batistuta....
Maana yake ni "little Ronaldo"Nini maana ya Ronaldiinho mkuu mm sifahamu
Kaka alikuwepo J. J. Okocha ni balaa.Habari Wakuu!
Tokea ninakua mpaka sasa bado sijawahi ona ona mchezaji Mpira anayemfikia GAUCHO kwa ubora.
kwa wanaomjua Gaucho wataungana na Mimi na hawatanishangaa nikimkubali huyu mchezaji ambaye wataalamu tunamuita Mchawi wa Soccer.
Gaucho alikuwa mahiri kwa kuukontroli Mpira. Alikuwa anauwezo wa kuuweka mpira sehemu yoyote ya mwili.
Aidha Mbrazili huyu kwenye swala za dribbling bado hakuna anayemkamata.
Hutotamani mpira uondoke mguuni mwake pindi afanyapo mambo yake.
Gaucho ni miongoni mwa Wachezaji wakali kuwahi kutokea duniani.
Je wewe unadhani ni nani anayemkaribia huyu Mchawi wa Soccer kwa maana kwa wakumzidi bado hayupo.
Na Redondo kaka.wengi humu wamezaliwa juzi.
nataka waliowaona hawa wachezaji waje tuzungumze...zidane..stephen efernberg...dinho..
figo ...luis enrique...raul...rivaldo...nedved..batistuta....
huyo ndio noma zaidi..muargentina huyo..panda shuka zake zilikuwa noma pale mardidNa Redondo kaka.
Hii kazi ni vizuri ukiifanya wewe sasa... Mimi nimetaja wachezaji facts na hizo references leta wewe mkuu.Umeandika tu uko ulaya bila ya kutoa reference
Reference ya rank yako ni ipi?kwa stats zipi?
Huyu mtoa uzi atakua wa juzi juzi tu.Na Redondo kaka.
Eti mashabiki hawajui mpira.
We si ndio unajua mpira.
Ila kaa ukijua Gaucho mpaka kesho atakuwa the best.