Mpaka sasa sijaona mchezaji Kama Ronaldinho (GAUCHO)

Hv kati ya Ronaldo de lima na Ronardinho nani alikua mkali zaid
Kila mmoja ni mkali katika nafasi yake. Ronaldo de Lima alikuwa namba tisa yenye madhara ambapo mpaka sasa dunia imekosa mtu kama huyo.
Ronaldinho ni moto mwingine kwenye kiungo na ni mchezaji mwenye 'individual' zenye faida kwa timu katika dunia ya soka ya sasa hakuna mchezaji wa staili ya Ronaldinho.
 
Umeongea kweli Mkuu.

Lakini huyo Gaucho sio tuu kuuchezea mpira atakavyo pia Kwa Dribbling bado yeye anaongoza Mkuu.

Japo J.J Okocha ni kweli alikuwa vizuri alikuwa vizuri kwenye dribbling lakini suala ya kutumia nguvu hasa mipira ya juu hakuwa mzuri ukilinganisha na Gaucho. Gaucho alipenda mipira ya juu zaidi hasa kifuani kwani alikuwa na kontrol na nguvu/msuli wa kuwazuia maadui

Mkuu unaweza kuwa sahihi kwa upande mwingine, ogopa sana kitu kinachoitwa media sababu kina control the minds of masses.

Katika watu ambao media hazikuwa fanyia fair ni pamoja na J.J okocha na nna fikiri sababu kubwa iliyofanya yeye kukosa coverage ya kutosha na pamoja na timu alizochezea, katika maisha yake ya soka timu kubwa pekee aliyochezea ni PSG tena kipindi bado na yenyewe ni middle table team huko kwao.

Kwa hiyo sasa siwezi kukataa sana mtu anaponiambia Gaucho ana vitu ambavyo Okocha hana.

Ila tu ifahamike kuwa walipokuwa kuwa wote PSG Dinho alitumia muda mwingi mazoezini kujifunza kile alichokuwa anafanya Okocha kwenye mechi. Na pia vile vile Zidane aliwahi kukaririwa akisema kila akimwangalia Okocha uwanjani anajiona yeye hajui chenga na bado anahitaji kujifunza.
 
Kila mmoja ni mkali katika nafasi yake. Ronaldo de Lima alikuwa namba tisa yenye madhara ambapo mpaka sasa dunia imekosa mtu kama huyo.
Ronaldinho ni moto mwingine kwenye kiungo na ni mchezaji mwenye 'individual' zenye faida kwa timu katika dunia ya soka ya sasa hakuna mchezaji wa staili ya Ronaldinho.
Ahsante na huyo pere je maana sijawahi kushuhudia mechi zake ila nasikia sifa zake tu
 
Bila shaka utakua Shabiki wa Manchester United wewe.......ndo maana huwa unalala kwenye mechi coz mmepotea saizi

Ahahahahaha...... Mashabiki wa man u wengi ni madrid sasa hivi wameitelekeza timu yao.
 
Hapa JF akichukua sitashangaa wengi ni mashabiki hawajui mpira.
Huko ulaya kwenye 10 bora utakutana na majina haya huku 1-3 wakibadilishana Messi, Maradona na Pele.
Huku nafasi zilizo baki utakutana na haya majina.
Best
Platin
Gerd Muller
Eusebio
Lothar Matthaurs
Puskas
Garrincha
Cruyff
Beckenbauer
Di Stefano
Zidane

Huyo Ronaldinho huko Brazil kwenyewe top 3 hayupo kuna akina De lima, Pele, Garrincha.
Ataingia Top ten ya Dunia kweli.!?!?
Labda top 10 ya shafii dauda.
Umeandika tu uko ulaya bila ya kutoa reference
Reference ya rank yako ni ipi?kwa stats zipi?
 
wengi humu wamezaliwa juzi.

nataka waliowaona hawa wachezaji waje tuzungumze...zidane..stephen efernberg...dinho..
figo ...luis enrique...raul...rivaldo...nedved..batistuta....
Hapo sijamuona huyo Stephen ila wengine nimewaona hakuna kama dihno anafunga goli huku anakata mauno
 
Habari Wakuu!

Tokea ninakua mpaka sasa bado sijawahi ona ona mchezaji Mpira anayemfikia GAUCHO kwa ubora.

kwa wanaomjua Gaucho wataungana na Mimi na hawatanishangaa nikimkubali huyu mchezaji ambaye wataalamu tunamuita Mchawi wa Soccer.

Gaucho alikuwa mahiri kwa kuukontroli Mpira. Alikuwa anauwezo wa kuuweka mpira sehemu yoyote ya mwili.

Aidha Mbrazili huyu kwenye swala za dribbling bado hakuna anayemkamata.

Hutotamani mpira uondoke mguuni mwake pindi afanyapo mambo yake.

Gaucho ni miongoni mwa Wachezaji wakali kuwahi kutokea duniani.


Je wewe unadhani ni nani anayemkaribia huyu Mchawi wa Soccer kwa maana kwa wakumzidi bado hayupo.
Kaka alikuwepo J. J. Okocha ni balaa.
 
Umeandika tu uko ulaya bila ya kutoa reference
Reference ya rank yako ni ipi?kwa stats zipi?
Hii kazi ni vizuri ukiifanya wewe sasa... Mimi nimetaja wachezaji facts na hizo references leta wewe mkuu.
 
Umewahi kuona shabiki anaejua mpira!?!?
Mimi sio shabiki ni mpenda soka na ndio maana sijapofushwa na mahaba juu ya Dinho.
Eti mashabiki hawajui mpira.

We si ndio unajua mpira.
Ila kaa ukijua Gaucho mpaka kesho atakuwa the best.
 
Huyu ndiye alinifanya nikawa na mapenzi na FC BARCELONA
 

Attachments

  • 4a64e7744ce69b2709f3de63a209db2a.jpg
    4a64e7744ce69b2709f3de63a209db2a.jpg
    68.4 KB · Views: 55

Similar Discussions

Back
Top Bottom