Fundi manyumba 01
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,113
- Thread starter
-
- #221
Ok, huyo mwanamke hana hisia na ww hakupendi na huwezi kumlazimisha akupende. Cha muhimu ni kumuacha kwa namna utayoona inafaa utafute atakayekupenda. Kumbuka mwanamke akipenda kweli lazima akujari n.k.
Aya hapa nimejitahidi kuongea non_dry.
Kamwe kamwe kamweeee bilivu mimiPromise me hutoniumiza
Hapana pesa sijaliwa za kutosha seriously ila ndo hivo tu..Hamna mama la Mama humo acha kujijaza matumaini we kinachokuuma ni kuliwa hela zako na k hujapewa basi
Ukija nisaliti mimi na wewe aiseeeeeKamwe kamwe kamweeee bilivu mimi
Usiniambukize ugonjwa wako, naona hujui una shida gani?Hapana pesa sijaliwa za kutosha seriously ila ndo hivo tu..
Ile kuumizwa aiseee..
Hvi sijui unaelewa nachopitia,, unatuma sms kumu inajibiwa moja tena kinyonge na hapo najitoa sana sana an
Nateseka tuu mie....Usiniambukize ugonjwa wako, naona hujui una shida gani?
nitajitahid kukazana kula nisiuwawe aseeeeUkija nisaliti mimi na wewe aiseeeee
Na kama una mwili mdogo takuuwa
Ninazo mkuu ila kama zipo unaweza nipa...Mkuu huna shughuli nyingine za kufanya?
Nacho ni kipaji,hongeraHapana pesa sijaliwa za kutosha seriously ila ndo hivo tu..
Ile kuumizwa aiseee..
Hvi sijui unaelewa nachopitia,, unatuma sms kumu inajibiwa moja tena kinyonge na hapo najitoa sana sana an
Una kilo ngapi wewe.. hhhnitajitahid kukazana kula nisiuwawe aseeee
Kipaji kweli hata nikisema nikaze ila nakuta nashundwa kabisa anNacho ni kipaji,hongera
Ila kutafutwa raha sana, kijana namuelewa😂Muache kijana atafutwe 😂
Raha mno hasa ukitafutwa na yule unaemuelewa sana.Ila kutafutwa raha sana, kijana namuelewa😂
Asee ndio naniSijaribu aseeee
Ndo wewe apo jna napenda kukuitaAsee ndio nani
🤣🤣🤣 Samahani haturudii tena