Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,538
Nyie msimu huu mlizidi nyodo mlikiwa na midomo mirefu km treni za Kigomaduuh! Kitaa kimeshachafuka..!!
Ngoja leo mpigwe, alafu tuone kama mtaendeleza hizo kelele zenu
Nyie msimu huu mlizidi nyodo mlikiwa na midomo mirefu km treni za Kigomaduuh! Kitaa kimeshachafuka..!!
Ngoja leo mpigwe, alafu tuone kama mtaendeleza hizo kelele zenu
Na sasa takwimu zikoje baada ya kutoka Mbeya?Timu 3 za kwanza katika msimamo wa ligi.
1. Simba S.C - Pointi 17
2. Stand United - Pointi 16
3. Mtibwa Sugar - Pointi13
Timu iliyoshinda Mechi nyingi.
1. Simba S.C - Mechi 5
2. Stand United - Mechi 4
3. Mtibwa Sugar - Mechi 4
Timu iliyofungwa Mechi chache.
1. Simba S.C - Mechi 0
2. Stand United - Mechi 0
3. Tanzania Prisons - Mechi 1
Timu iliyofunga magoli mengi.
1. Simba S.C - Magoli 13
2. Azam - Magoli 10
3. Yanga Yetu S.C - Magoli 9
Wachezaji wanaaongoza kwa kufunga goli nyingi.
1. Shiza Kichuya - Magoli 5
2. Amis Tambwe - Magoli 4
3. Laudit Mavugoal - Magoli 3
Timu iliyofunga goli ambalo wanasayansi mbali mbali duniani wanalijadili... IMEWEZEKANAJE??!!
1. Simba S.C - Magoli 2
2. Hakuna
3. Hakuna
ANGALIZO:
Timu iliyofunga goli la mkono mpaka sasa.
1. Yanga Yetu S.C - Goli 1
2. Hakuna
3. Hakuna
.. na msimamo wa VPL mpaka sasa upo hivi
View attachment 414312
ShiiiiiiiiNyie msimu huu mlizidi nyodo mlikiwa na midomo mirefu km treni za Kigoma
Dume la mbegu linapumuliwa kisogoni ikiwa bado mechi 15. Tambo zikizidi ni shidaa!Kwa sababu Simba ni Dume la Mbegu.
Dume la mbegu linapumuliwa kisogoni ikiwa bado mechi 15. Tambo zikizidi ni shidaa!Kwa sababu Simba ni Dume la Mbegu.
Dume la mbegu linapumuliwa kisogoni ikiwa bado mechi 15. Tambo zikizidi ni shidaa!Kwa sababu Simba ni Dume la Mbegu.
Dume la mbegu linapumuliwa kisogoni ikiwa bado mechi 15. Tambo zikizidi ni shidaa!Kwa sababu Simba ni Dume la Mbegu.
Dume la mbegu linapumuliwa kisogoni ikiwa bado mechi 15. Tambo zikizidi ni shidaa!Kwa sababu Simba ni Dume la Mbegu.
Dume la mbegu linapumuliwa kisogoni ikiwa bado mechi 15. Tambo zikizidi ni shidaa!Kwa sababu Simba ni Dume la Mbegu.
Leta takwimu za hivi karibuniTimu 3 za kwanza katika msimamo wa ligi.
1. Simba S.C - Pointi 17
2. Stand United - Pointi 16
3. Mtibwa Sugar - Pointi13
Timu iliyoshinda Mechi nyingi.
1. Simba S.C - Mechi 5
2. Stand United - Mechi 4
3. Mtibwa Sugar - Mechi 4
Timu iliyofungwa Mechi chache.
1. Simba S.C - Mechi 0
2. Stand United - Mechi 0
3. Tanzania Prisons - Mechi 1
Timu iliyofunga magoli mengi.
1. Simba S.C - Magoli 13
2. Azam - Magoli 10
3. Yanga Yetu S.C - Magoli 9
Wachezaji wanaaongoza kwa kufunga goli nyingi.
1. Shiza Kichuya - Magoli 5
2. Amis Tambwe - Magoli 4
3. Laudit Mavugoal - Magoli 3
Timu iliyofunga goli ambalo wanasayansi mbali mbali duniani wanalijadili... IMEWEZEKANAJE??!!
1. Simba S.C - Magoli 2
2. Hakuna
3. Hakuna
ANGALIZO:
Timu iliyofunga goli la mkono mpaka sasa.
1. Yanga Yetu S.C - Goli 1
2. Hakuna
3. Hakuna
.. na msimamo wa VPL mpaka sasa upo hivi
View attachment 414312
Wazee wa takwimu tayari wamejipiga ban
Hao wanatembelea upepo...
Bwana sembo umepotelea wapi mkuu... Usikimbie kama msimu uliopita
Sembo inabidi uje ufanye masahihisho penye uzi wako pana mambo yamebadilika
sembo ni kwamba hautaki kwenda na mabadiliko au na wewe hujalibiwi??
Eneo korofi
wakuu mambo yamekua mengi sana sasa hivi.. ila tupo pamoja sana.Sijui mtani kapatwa na nini! si kawaida yake kupotea hivi "mtani njoo walau tujue afya yako unatuweka mashakani haya mambo ya michezo yapo tu "
Tunaomba uandike tena hizo takwimu halafu tutajie mashabiki wenzio wamchangani tuwajue kabisa inaonekana hapa JF wewe tu mshabiki wa timu ya mchanganiwakuu mambo yamekua mengi sana sasa hivi.. ila tupo pamoja sana.
Hicho ulichofanya ni kitendo cha kiungwana kabisa umetutoa khofu na mashaka karibu sana sasa waweza kurudi huko penye mambo yako mengi huku ukituacha watani zako nafsi zetu zimetua tunajuamtani yupo salama.wakuu mambo yamekua mengi sana sasa hivi.. ila tupo pamoja sana.