Mpaka sasa katika VPL; Takwimu zinaongea.

Timu 3 za kwanza katika msimamo wa ligi.
1. Simba S.C - Pointi 17
2. Stand United - Pointi 16
3. Mtibwa Sugar - Pointi13

Timu iliyoshinda Mechi nyingi.
1. Simba S.C - Mechi 5
2. Stand United - Mechi 4
3. Mtibwa Sugar - Mechi 4

Timu iliyofungwa Mechi chache.
1. Simba S.C - Mechi 0
2. Stand United - Mechi 0
3. Tanzania Prisons - Mechi 1

Timu iliyofunga magoli mengi.
1. Simba S.C - Magoli 13
2. Azam - Magoli 10
3. Yanga Yetu S.C - Magoli 9

Wachezaji wanaaongoza kwa kufunga goli nyingi.
1. Shiza Kichuya - Magoli 5
2. Amis Tambwe - Magoli 4
3. Laudit Mavugoal - Magoli 3

Timu iliyofunga goli ambalo wanasayansi mbali mbali duniani wanalijadili... IMEWEZEKANAJE??!!
1. Simba S.C - Magoli 2
2. Hakuna
3. Hakuna

ANGALIZO:
Timu iliyofunga goli la mkono mpaka sasa.
1. Yanga Yetu S.C - Goli 1
2. Hakuna
3. Hakuna

.. na msimamo wa VPL mpaka sasa upo hivi

View attachment 414312
Na sasa takwimu zikoje baada ya kutoka Mbeya?
 
Nyie msimu huu mlizidi nyodo mlikiwa na midomo mirefu km treni za Kigoma
Shiiiiiiii
1478775903766.jpg
 
Timu 3 za kwanza katika msimamo wa ligi.
1. Simba S.C - Pointi 17
2. Stand United - Pointi 16
3. Mtibwa Sugar - Pointi13

Timu iliyoshinda Mechi nyingi.
1. Simba S.C - Mechi 5
2. Stand United - Mechi 4
3. Mtibwa Sugar - Mechi 4

Timu iliyofungwa Mechi chache.
1. Simba S.C - Mechi 0
2. Stand United - Mechi 0
3. Tanzania Prisons - Mechi 1

Timu iliyofunga magoli mengi.
1. Simba S.C - Magoli 13
2. Azam - Magoli 10
3. Yanga Yetu S.C - Magoli 9

Wachezaji wanaaongoza kwa kufunga goli nyingi.
1. Shiza Kichuya - Magoli 5
2. Amis Tambwe - Magoli 4
3. Laudit Mavugoal - Magoli 3

Timu iliyofunga goli ambalo wanasayansi mbali mbali duniani wanalijadili... IMEWEZEKANAJE??!!
1. Simba S.C - Magoli 2
2. Hakuna
3. Hakuna

ANGALIZO:
Timu iliyofunga goli la mkono mpaka sasa.
1. Yanga Yetu S.C - Goli 1
2. Hakuna
3. Hakuna

.. na msimamo wa VPL mpaka sasa upo hivi

View attachment 414312
Leta takwimu za hivi karibuni
 
Wazee wa takwimu tayari wamejipiga ban

Hao wanatembelea upepo...

Bwana sembo umepotelea wapi mkuu... Usikimbie kama msimu uliopita

Sembo inabidi uje ufanye masahihisho penye uzi wako pana mambo yamebadilika

sembo ni kwamba hautaki kwenda na mabadiliko au na wewe hujalibiwi??

Eneo korofi

Sijui mtani kapatwa na nini! si kawaida yake kupotea hivi "mtani njoo walau tujue afya yako unatuweka mashakani haya mambo ya michezo yapo tu "
wakuu mambo yamekua mengi sana sasa hivi.. ila tupo pamoja sana.
 
Back
Top Bottom