Mr Kiroboto
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 350
- 87
Mwanamke hapendi mwanamke mwenzie,siku zote hao viumbe wanapenda wanaume.Hivi kwanini WANAWAKE wanaipenda sana SIMBA?
Mwanamke hapendi mwanamke mwenzie,siku zote hao viumbe wanapenda wanaume.Hivi kwanini WANAWAKE wanaipenda sana SIMBA?
Hahahhh una utani mbaya sembo ngoja wajeMkuu zamani ilikua ni Yanga S.C ila sasa ni Yanga Yetu S.C.
Kweli kabisa makocha wanakosea apo uyo rufunga si loloteJuuko acheze dakika 90,mwambieni mayanja aache zengwe,huwezi kumuweka benchi Juuko ukampanga Rufunga
kwa sababu wanarandana tabia.Hivi kwanini WANAWAKE wanaipenda sana SIMBA?
Mimi nadhani labda ni kwa sababu mashoga wanaipenda sana Yanga!Mwanamke hapendi mwanamke mwenzie,siku zote hao viumbe wanapenda wanaume.
Timu ya wanawake hiyo.....wanawake wanapenda KULALAMIKAKwa sababu Simba ni Dume la Mbegu.
KWASABABU NI TIMU YA KIKEMkuu.. Mimi sifahamu ni kwanini.. Wewe unafahamu?
Hata msimu wa ligi uliyoisha Yanga ilianza vibaya lakini wakamaliza ligi wakiwa mabingwa.
Timu ya wanawake hiyo.....wanawake wanapenda KULALAMIKA
KWASABABU NI TIMU YA KIKE
Wazee wa takwimu tayari wamejipiga ban
Hao wanatembelea upepo...
duuh! Kitaa kimeshachafuka..!!