Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 1,153
- 1,698
- Thread starter
- #41
LabdaBinadamu ametokana na Asili nature na hata kuondoka kwake kutakuwa hivyo hivyo
LabdaBinadamu ametokana na Asili nature na hata kuondoka kwake kutakuwa hivyo hivyo
Chanzo cha uhai kiko wapi?Katika unanswered question hili mbona halipo ?
Wanasanyansi wote they know for a fact chanzo cha life na hata earth as we know it..., ofcourse unaweza kubisha lakini huwezi kusema hawajui ?
Labda ungesema jambo ambalo hatujui for a fact ni kama kuna universe nyingine..., yaani kilichotokea hapa kama na pengine kilitokea na kipo ? Theoretically Possible, Practically hard to Prove
Acha kamba. Bahari ni kitu kinachoonekana na unaweza kuthibithisha kama maji yake yana chumvi ama laah.Story kuwa ya kusadikika ni ww tu utakavyoichukulia. Unaweza ambiwa bahari ina maji ya chumvi, ww ukasema ni stori ya kusadikika
Binadamu haonekani?Acha kamba. Bahari ni kitu kinachoonekana na unaweza kuthibithisha kama maji yake yana chumvi ama laah.
Si hivyo mkuu, napanua mjadala kwa Socratic Method.Wewe jamaa ni mtata sana,hakuna neno utashindwa kulijengea hoja na kubuni maswali ya kulipinga.
Huyo Mungu hatoshi.The ones in the Dark are the ones who don't know where they came from.
"God created everything through him, and nothing was created except through him.
The Word gave life to everything that was created, and his life brought light to everyone.
The light shines in the darkness, and the darkness can never extinguish it."
Labda nikuulize kwanza kuna kitu unachoweza kusema kama utupu / nothingness ?Chanzo cha uhai kiko wapi?
Dogo acha ushamba ,kunq clip hao robot wanaongea kugha hazieleweki wenyewe kwa wenyewe..Unatokea kijijini gani kwanza?Hakuna namna Robots wa AI ataweza kuunda wenzao.
AI ni machine zilizopangiliwa na Wanadamu, Vinawaza kulingana na systems zilizopangwa.
Mawazo hayo hayatokuja kutokea.
Binadamu hatujui vifuatavyo;
NB: Naomba majibu kiushahidi wala si kinadharia, naamini Mungu yupo, usiniulize kwanini naamini.
- Chanzo cha viumbe hai vinavyoonekana na visivyoonekana ni nini?
- Kabla ya kuwepo maulimwengu "universal galaxies" kulikuwa na nini?
- Viumbe gani viishivyo kwenye maulimwengu mengine?
- Kwanini mazingira ya sayari zingine hutofautiana na hii dunia?
- Binadamu tuliletwa duniani kuja kufanya nini ikiwa hatuishi milele?
- Baada ya kifo/vifo vya viumbe hai vyote kutakuwa na maisha mengine au ndiyo kwa heri ya milele?
- Kwanini pumzi, akili, na sauti havionekani wala kushikika "visible & tangible" zaidi ya kuhisiwa tu "sensible".
- Kwanini viumbe hai vionekanavyo katika ndoto/usingizini huishi wapi, kwanini hugombana na vina nguvu sana? e.g hupaa
- Kwanini kila kitu huwa na kinyume chake? e.g nuru na giza.
- Kwanini kila Binadamu huzaliwa na DNA na mistari ya viganjani tofauti?
- Kwanini muda mwingi Binadamu hutumia kutengeneza furaha kuliko huzuni zitokanazo na changamoto za kimaisha duniani?
- Nini asilli ya ugomvi wa viumbe hai vyenyewe kwa vyenyewe kama paka, kuku, n.k?
Ubinadamu ni kazi/The human
Mpaka Sasa Binadamu Hajajua Alitokea Wapi . Je, Tutawahi Kujua? Na dhumuni la Kuishi ni lipi?
Moja ya maswali makubwa yanayomkabili binadamu tangu mwanzo wa fikra ni: Binadamu alitokea wapi? Mpaka sasa, hakuna jibu la uhakika linalokubalika kwa wote. Wanasayansi wanasema binadamu ni zao la mamilioni ya miaka ya mabadiliko ya viumbe (evolution), lakini hata nadharia hiyo haijajibu kwa kina chanzo halisi cha uhai.
Kwa upande mwingine dini nyingi duniani zinadai binadamu aliumbwa na nguvu ya juu Mungu. Lakini bado, maswali huibuka aliumbwa lini? Kwa nini? Na vipi kuhusu jamii zilizokuwepo kabla ya maandiko ya kidini?
Hali hii inaacha pengo kubwa la maarifa na kusababisha mjadala usioisha kati ya wana sayansi, wana falsafa, na waumini wa dini mbalimbali.
Na zaidi ya kutokujua tulikotoka, swali jingine kubwa ni Kwa nini tuko hai? Dhumuni la kuishi ni lipi?
Je, tupo hapa kuishi maisha mafupi, kufanya kazi, kuteseka, kufurahia kidogo, kisha kufa? Au kuna sababu kubwa zaidi kama kutimiza makusudi ya Muumba au kusaidia wengine na kuacha dunia ikiwa bora zaidi?
Maswali ya kutafakari:
Je, chanzo cha binadamu ni muhimu zaidi kuliko hatma yake?
Dhumuni la maisha linapaswa kutegemea imani, maarifa au uzoefu binafsi?
Tukiendelea kutafuta chanzo chetu, je, tutawahi pia kuelewa kikamilifu sababu ya kuwepo kwetu?
Ni hayo tu kwa sasa.
Mpaka Sasa Binadamu Hajajua Alitokea Wapi . Je, Tutawahi Kujua? Na dhumuni la Kuishi ni lipi?
Moja ya maswali makubwa yanayomkabili binadamu tangu mwanzo wa fikra ni: Binadamu alitokea wapi? Mpaka sasa, hakuna jibu la uhakika linalokubalika kwa wote. Wanasayansi wanasema binadamu ni zao la mamilioni ya miaka ya mabadiliko ya viumbe (evolution), lakini hata nadharia hiyo haijajibu kwa kina chanzo halisi cha uhai.
Kwa upande mwingine dini nyingi duniani zinadai binadamu aliumbwa na nguvu ya juu Mungu. Lakini bado, maswali huibuka aliumbwa lini? Kwa nini? Na vipi kuhusu jamii zilizokuwepo kabla ya maandiko ya kidini?
Hali hii inaacha pengo kubwa la maarifa na kusababisha mjadala usioisha kati ya wana sayansi, wana falsafa, na waumini wa dini mbalimbali.
Na zaidi ya kutokujua tulikotoka, swali jingine kubwa ni Kwa nini tuko hai? Dhumuni la kuishi ni lipi?
Je, tupo hapa kuishi maisha mafupi, kufanya kazi, kuteseka, kufurahia kidogo, kisha kufa? Au kuna sababu kubwa zaidi kama kutimiza makusudi ya Muumba au kusaidia wengine na kuacha dunia ikiwa bora zaidi?
Maswali ya kutafakari:
Je, chanzo cha binadamu ni muhimu zaidi kuliko hatma yake?
Dhumuni la maisha linapaswa kutegemea imani, maarifa au uzoefu binafsi?
Tukiendelea kutafuta chanzo chetu, je, tutawahi pia kuelewa kikamilifu sababu ya kuwepo kwetu?
Ni hayo tu kwa sasa.
Hiyo energy ilitokana na nini (aliyeumba energy) na kabla ya uwepo wake kulikuwa na nini haswa?Mbona inajulikana wewe upo dunia gani? Sisi ni Energy tumefanyika binadamu ..na vitu vyote ni Energy
Energy ipo milele aikuumbwa wala uwezi kuianganiza ipungue hata asilimia 1 %...kasome sifa za Energy kisayansi....Hiyo energy ilitokana na nini (aliyeumba energy) na kabla ya uwepo wake kulikuwa na nini haswa?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Inamaana energy iliibuka tu ghafla from nowhere wala haikuumbwa au kutengenezwa na kitu chochote?Energy ipo milele aikuumbwa wala uwezi kuianganiza ipungue hata asilimia 1 %...kasome sifa za Energy kisayansi....
1)moja ya sifa ni kwamba you can't create all destroy Energy .
2)but Energy can transform from one form to another...(hivyo energy ilibadilika kuwa wanadamu yaani moja wapo ya transformation ni kuwa binadamu )
3)Energy is the capacity of doing work...(hapa ndiyo tunakuta maana ya yale maandiko kuwa ...👉vyote vilifanyika kwa yeye pasipo yeye hakuna chochote kinachoweza kufanyika) no Energy no work no nothing.
Even God is energy =hata mungu ni roho...maana yake pasipo energy(roho) hata mungu awezi kuwako ...hivyo energy ipo ambayo ipo aikuumbwa na yoyote hata mungu akuumba energy bali yeyepia ni energy.....ufahamu wa hiyo Energy yote kwa ujumla wake ndiyo Mungu ....hapa ndipo wanasayansi wanapo jaribu kuficha au kubisha kuwa Energy (ambayo ndiyo mather nature) inajitambua yani inaufahamu ...wao wanapinga huo ufahamu ila wanakubali kuna nguvu za mungu yani mother nature ila wanasema hizo nguvu za mother nature azina ufahamu wowote zimeumba vitu kwa kubahatisha tu....swali linakuja kama nguvu za mother nature (ambazo ndiyo energy) haziwezi kuwa na ufahamu mbona binadamu ambaye ni matokeo ya hizo nguvu ana ufahamu ? Kwa sababu kisayansi binadamu si chochote bali ni energy...sasa energy binadamu ina ufahamu huo ni ushahidi kuwa nguvu zilizo umba ambazo ni Energy zinajitambua .....Inamaana energy iliibuka tu ghafla from nowhere wala haikuumbwa au kutengenezwa na kitu chochote?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.