Mpaka sasa binadamu hajajua alitokea wapi!

Mpaka sasa binadamu hajajua alitokea wapi!

Katika unanswered question hili mbona halipo ?

Wanasanyansi wote they know for a fact chanzo cha life na hata earth as we know it..., ofcourse unaweza kubisha lakini huwezi kusema hawajui ?

Labda ungesema jambo ambalo hatujui for a fact ni kama kuna universe nyingine..., yaani kilichotokea hapa kama na pengine kilitokea na kipo ? Theoretically Possible, Practically hard to Prove
Chanzo cha uhai kiko wapi?
 
The ones in the Dark are the ones who don't know where they came from.


"God created everything through him, and nothing was created except through him.

The Word gave life to everything that was created, and his life brought light to everyone.

The light shines in the darkness, and the darkness can never extinguish it."
Huyo Mungu hatoshi.
Na yeye alikuwa created na nini?
Kila mwanzo una chanzo hata ukileta Quantum laws bado mwanzo, chanzo na effects zitakuwepo
 
Chanzo cha uhai kiko wapi?
Labda nikuulize kwanza kuna kitu unachoweza kusema kama utupu / nothingness ?

Baada ya hapo chukua chupa leo toa kila kitu kabisa iweke sehemu utashangaa kama conditions zitakuwa favourable baada ya muda unaweza ukakuta life forms be it mold au chochote kile; au panda mbegu leo baada ya muda kama condition ni favourable utakuta mmea umeota; au jiulize bacteria ambao hatukuwatambua kabla wametokea wapi ? au baadhi ya wanyama ambao waliokuwepo kabla sasa hivi hawapo au kutokana na extinction kama tembo watakuwepo miaka mia tano ijayo...

Jiulize tena kwanini wewe uliyepo hapo ingredients zako ni elements ambazo zipo kila mahali oxygen, carbon, hydrogen, nitrogen, calcium, and phosphorus n.k.

Baada ya hapo unaweza kuona kwamba uhai wako ni happenstances tu ambazo zilitokea kutokana na favorable conditions kama vile ambavyo kuna viumbe vilikuwa havipo sasa hivi vipo na vingine vimepotea..., Na kama ukitaka proof ni kweli kwamba wewe chanzo chako ni cell (yaani from unicellular to multicellular) tena hata tusipoenda miaka kadhaa nyuma bali katika formation ya Zygote yako (utungaji wa mimba)..; Kwahio mimi hili wala sio swali gumu kwangu wala mind boggling labda swali la the beginning au what was there before the beginning na sio the beginning of life...

Kuna known knowns, known unknowns na unknown unknowns; na what was the beginning or before the beginning is known unknown....; beginning of life is known known
 
Binadamu hatujui vifuatavyo;
  • Chanzo cha viumbe hai vinavyoonekana na visivyoonekana ni nini?
  • Kabla ya kuwepo maulimwengu "universal galaxies" kulikuwa na nini?
  • Viumbe gani viishivyo kwenye maulimwengu mengine?
  • Kwanini mazingira ya sayari zingine hutofautiana na hii dunia?
  • Binadamu tuliletwa duniani kuja kufanya nini ikiwa hatuishi milele?
  • Baada ya kifo/vifo vya viumbe hai vyote kutakuwa na maisha mengine au ndiyo kwa heri ya milele?
  • Kwanini pumzi, akili, na sauti havionekani wala kushikika "visible & tangible" zaidi ya kuhisiwa tu "sensible".
  • Kwanini viumbe hai vionekanavyo katika ndoto/usingizini huishi wapi, kwanini hugombana na vina nguvu sana? e.g hupaa
  • Kwanini kila kitu huwa na kinyume chake? e.g nuru na giza.
  • Kwanini kila Binadamu huzaliwa na DNA na mistari ya viganjani tofauti?
  • Kwanini muda mwingi Binadamu hutumia kutengeneza furaha kuliko huzuni zitokanazo na changamoto za kimaisha duniani?
  • Nini asilli ya ugomvi wa viumbe hai vyenyewe kwa vyenyewe kama paka, kuku, n.k?
NB: Naomba majibu kiushahidi wala si kinadharia, naamini Mungu yupo, usiniulize kwanini naamini.

Ubinadamu ni kazi/The human

Hakuna mtu atakijibu Haya yote isipokuwa Mungu mwenyewe ambayo umekiri yupo.
 
Of this you have seen sufficient. Now we will show you the past. To prepare you, I will tell you what you will experience, then you will not be frightened.” FRIGHTENED? I thought to myself; if he but knew I AM ABSOLUTELY TERRIFIED! “First,” resumed the Voice, “you will experience blackness and some spinning. Then you will see what you think is this room. Actually it will be as this room was millions of years ago by YOUR time, but which is not so long by ours. Then you will see how, first, your universe was created, and then, later, how your world was born, how it was stocked with creatures among them those we call Man.”

The hermit. Page 186
 
Mpaka Sasa Binadamu Hajajua Alitokea Wapi . Je, Tutawahi Kujua? Na dhumuni la Kuishi ni lipi?

Moja ya maswali makubwa yanayomkabili binadamu tangu mwanzo wa fikra ni: Binadamu alitokea wapi? Mpaka sasa, hakuna jibu la uhakika linalokubalika kwa wote. Wanasayansi wanasema binadamu ni zao la mamilioni ya miaka ya mabadiliko ya viumbe (evolution), lakini hata nadharia hiyo haijajibu kwa kina chanzo halisi cha uhai.

Kwa upande mwingine dini nyingi duniani zinadai binadamu aliumbwa na nguvu ya juu Mungu. Lakini bado, maswali huibuka aliumbwa lini? Kwa nini? Na vipi kuhusu jamii zilizokuwepo kabla ya maandiko ya kidini?

Hali hii inaacha pengo kubwa la maarifa na kusababisha mjadala usioisha kati ya wana sayansi, wana falsafa, na waumini wa dini mbalimbali.

Na zaidi ya kutokujua tulikotoka, swali jingine kubwa ni Kwa nini tuko hai? Dhumuni la kuishi ni lipi?

Je, tupo hapa kuishi maisha mafupi, kufanya kazi, kuteseka, kufurahia kidogo, kisha kufa? Au kuna sababu kubwa zaidi kama kutimiza makusudi ya Muumba au kusaidia wengine na kuacha dunia ikiwa bora zaidi?

Maswali ya kutafakari:

Je, chanzo cha binadamu ni muhimu zaidi kuliko hatma yake?

Dhumuni la maisha linapaswa kutegemea imani, maarifa au uzoefu binafsi?

Tukiendelea kutafuta chanzo chetu, je, tutawahi pia kuelewa kikamilifu sababu ya kuwepo kwetu?

Ni hayo tu kwa sasa.

Binadamu aliumbwa na Mungu kama sehemu ya kazi ya uumbaji iliyotimia kwa mpangilio wa siku sita, kama ilivyoandikwa katika Kitabu cha Mwanzo 1:26-27:

Kisha Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na dunia yote pia, na kila chombo chetu kitambaacho juu ya nchi.
Mungu akamwumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba; mwanamume na mwanamke aliwaumba.
(Mwanzo 1:26-27)

Binadamu aliumbwa lini?
Kulingana na Biblia, binadamu aliumbwa siku ya sita ya uumbaji (Mwanzo 1:31), baada ya Mungu kumaliza kuumba viumbe wengine wote, ikiwa ni pamoja na wanyama wa nchi.

Lengo la Mungu Kumuumba Binadamu

1. Kuwa na ushirika naye. Mungu aliumba binadamu kwa mfano wake ili aweze kuwa na uhusiano wa karibu naye (Mwanzo 3:8, Zaburi 8:4-6).

2. Kutawala dunia kwa niaba ya Mungu. Binadamu alipewa mamlaka juu ya viumbe vyote vya duniani (Mwanzo 1:28).

3. Kumtukuza Mungu. Binadamu aliumbwa kwa utukufu wa Mungu na kumtumikia Yeye (Isaya 43:7).

4. Kuzaa na kuijaza dunia. Mungu alimpa binadamu agizo la kuzaa na kuijaza dunia (Mwanzo 1:28).

Hivyo ndugu yangu wala usiumize kichwa, binadamu si kiumbe wa bahati mbaya bali ni kiumbe wa makusudi, aliyeumbwa kwa upendo, kwa mfano wa Mungu, na kwa ajili ya utukufu wa Mungu.

Chukulia mfano mwepesi kuna watu wanafuga mbwa nyumbani kwao wengine wanafuga farasi wengine wanafuga ngamia. Kwanini wanafuga hao wanyama?? Ukijibu hilo swali basi hata Mungu alianza hivyohivyo.
 
Mbona inajulikana wewe upo dunia gani? Sisi ni Energy tumefanyika binadamu ..na vitu vyote ni Energy
Mpaka Sasa Binadamu Hajajua Alitokea Wapi . Je, Tutawahi Kujua? Na dhumuni la Kuishi ni lipi?

Moja ya maswali makubwa yanayomkabili binadamu tangu mwanzo wa fikra ni: Binadamu alitokea wapi? Mpaka sasa, hakuna jibu la uhakika linalokubalika kwa wote. Wanasayansi wanasema binadamu ni zao la mamilioni ya miaka ya mabadiliko ya viumbe (evolution), lakini hata nadharia hiyo haijajibu kwa kina chanzo halisi cha uhai.

Kwa upande mwingine dini nyingi duniani zinadai binadamu aliumbwa na nguvu ya juu Mungu. Lakini bado, maswali huibuka aliumbwa lini? Kwa nini? Na vipi kuhusu jamii zilizokuwepo kabla ya maandiko ya kidini?

Hali hii inaacha pengo kubwa la maarifa na kusababisha mjadala usioisha kati ya wana sayansi, wana falsafa, na waumini wa dini mbalimbali.

Na zaidi ya kutokujua tulikotoka, swali jingine kubwa ni Kwa nini tuko hai? Dhumuni la kuishi ni lipi?

Je, tupo hapa kuishi maisha mafupi, kufanya kazi, kuteseka, kufurahia kidogo, kisha kufa? Au kuna sababu kubwa zaidi kama kutimiza makusudi ya Muumba au kusaidia wengine na kuacha dunia ikiwa bora zaidi?

Maswali ya kutafakari:

Je, chanzo cha binadamu ni muhimu zaidi kuliko hatma yake?

Dhumuni la maisha linapaswa kutegemea imani, maarifa au uzoefu binafsi?

Tukiendelea kutafuta chanzo chetu, je, tutawahi pia kuelewa kikamilifu sababu ya kuwepo kwetu?

Ni hayo tu kwa sasa.
 
Mbona inajulikana wewe upo dunia gani? Sisi ni Energy tumefanyika binadamu ..na vitu vyote ni Energy
Hiyo energy ilitokana na nini (aliyeumba energy) na kabla ya uwepo wake kulikuwa na nini haswa?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Hiyo energy ilitokana na nini (aliyeumba energy) na kabla ya uwepo wake kulikuwa na nini haswa?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Energy ipo milele aikuumbwa wala uwezi kuianganiza ipungue hata asilimia 1 %...kasome sifa za Energy kisayansi....
1)moja ya sifa ni kwamba you can't create all destroy Energy .
2)but Energy can transform from one form to another...(hivyo energy ilibadilika kuwa wanadamu yaani moja wapo ya transformation ni kuwa binadamu )
3)Energy is the capacity of doing work...(hapa ndiyo tunakuta maana ya yale maandiko kuwa ...👉vyote vilifanyika kwa yeye pasipo yeye hakuna chochote kinachoweza kufanyika) no Energy no work no nothing.
 
Energy ipo milele aikuumbwa wala uwezi kuianganiza ipungue hata asilimia 1 %...kasome sifa za Energy kisayansi....
1)moja ya sifa ni kwamba you can't create all destroy Energy .
2)but Energy can transform from one form to another...(hivyo energy ilibadilika kuwa wanadamu yaani moja wapo ya transformation ni kuwa binadamu )
3)Energy is the capacity of doing work...(hapa ndiyo tunakuta maana ya yale maandiko kuwa ...👉vyote vilifanyika kwa yeye pasipo yeye hakuna chochote kinachoweza kufanyika) no Energy no work no nothing.
Inamaana energy iliibuka tu ghafla from nowhere wala haikuumbwa au kutengenezwa na kitu chochote?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Inamaana energy iliibuka tu ghafla from nowhere wala haikuumbwa au kutengenezwa na kitu chochote?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Even God is energy =hata mungu ni roho...maana yake pasipo energy(roho) hata mungu awezi kuwako ...hivyo energy ipo ambayo ipo aikuumbwa na yoyote hata mungu akuumba energy bali yeyepia ni energy.....ufahamu wa hiyo Energy yote kwa ujumla wake ndiyo Mungu ....hapa ndipo wanasayansi wanapo jaribu kuficha au kubisha kuwa Energy (ambayo ndiyo mather nature) inajitambua yani inaufahamu ...wao wanapinga huo ufahamu ila wanakubali kuna nguvu za mungu yani mother nature ila wanasema hizo nguvu za mother nature azina ufahamu wowote zimeumba vitu kwa kubahatisha tu....swali linakuja kama nguvu za mother nature (ambazo ndiyo energy) haziwezi kuwa na ufahamu mbona binadamu ambaye ni matokeo ya hizo nguvu ana ufahamu ? Kwa sababu kisayansi binadamu si chochote bali ni energy...sasa energy binadamu ina ufahamu huo ni ushahidi kuwa nguvu zilizo umba ambazo ni Energy zinajitambua .....
 
Back
Top Bottom