Hatimae kapatikana 😅😅😅
Hapana, inawezekana kujibu kwa maswali wakati hujajua unatafuta majibu.Kitendo tu cha wewe kujibu maswali ya mleta mada kwa maswali tayari chadhihirisha ulishafikiri na ushajua.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Ngoja tuendelee kuishi tuone.Wewe ishi tuu achana na hizi nadharia!?
HUyo jamaa hakosagi jibu. Na mda mwingine majibu yake hayaeleweki.Wewe jamaa ni mtata sana,hakuna neno utashindwa kulijengea hoja na kubuni maswali ya kulipinga.
WEwe unajua?Hajajua au ww ndio hujajua?
Dadeq.Hapana, inawezekana kujibu kwa maswali wakati hujajua unatafuta majibu.
Hoja yako ina Logical non sequitur fallacy.
NdioWEwe unajua?
Nitakuwaje na imani dhabiti ingali bado sijui chanzo cha ulimwengu?Ukijenga imani moyoni mwako kwamba Mungu ndiye muumba,hapana shaka utajua madhumuni ya kuumbwa binadamu.Jambo kuu ni kuwa na imani isiyonamashaka kwamba yupo na alimuumba binadamu .Reasonings za science zinahitaji facts wakati kweli hutoka kwa Mungu na facts hubadilika kufuatana na time lakini Truth haibadiliki
Ni nani? Au unataka kuleta story za kusadikika?Ndio
Hakuna namna Robots wa AI ataweza kuunda wenzao.Hawa Robots wa AI wanaweza kuunda wenzao ipo siku watakuwa wengi na kizazi kitaendelea ,watakuja kubisha kama waliundwa na binadamu ..Watataka kujitawala na wataweka visasau dhidi ya binadamu wa kawaida.
Niachane nayo tu?Hayana faida yoyote yale hata ukiyajua
Ndio sasa nataka unitoe gizani kwa kunionesha ushahidi wa chanzo cha binadamu na uhai.The ones in the Dark are the ones who don't know where they came from.
"God created everything through him, and nothing was created except through him.
The Word gave life to everything that was created, and his life brought light to everyone.
The light shines in the darkness, and the darkness can never extinguish it."
Story kuwa ya kusadikika ni ww tu utakavyoichukulia. Unaweza ambiwa bahari ina maji ya chumvi, ww ukasema ni stori ya kusadikikaNi nani? Au unataka kuleta story za kusadikika?