S Seif al Islam JF-Expert Member Nov 14, 2011 2,156 638 Jun 1, 2012 #21 Hata mimi hiyo ilinikuta nikiwa form six kuna binti namkumbuka hadinleo aliniambia atanikubalia akimaliza form six
Hata mimi hiyo ilinikuta nikiwa form six kuna binti namkumbuka hadinleo aliniambia atanikubalia akimaliza form six
Leak JF-Expert Member Feb 22, 2012 52,206 42,068 Jun 1, 2012 #22 Me niliambiwa mpaka tufahulu mtihani
M Mwanaweja JF-Expert Member Feb 8, 2011 3,575 523 Jun 2, 2012 #23 haukuwa na convincing power ndio maana walikuwa wanakutema. Elimum ya secondary ilikuwa inatosha kukuweza kula vichwa bila tatizo
haukuwa na convincing power ndio maana walikuwa wanakutema. Elimum ya secondary ilikuwa inatosha kukuweza kula vichwa bila tatizo