Biohazard
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 2,197
- 1,459
Duh...! Ama kweli nilipata tabu sana enzi zangu za kubalehe yani wanafanzi wenzangu wa O-level wengi wao nikiwa approach walikua wananikubali, sekeseke linakua kwenye uroda ambao ahadi zao zilikua MPAKA nimalize FORM 4 Aisee...! kweli nilipata tabu sana.
Ckuishia hapo hata Form six napo walikuwepo wengine walidai mpaka wamalize chuo kikuu na wengine mpaka form six pia wengine walikua hawana shida.
Brothers & Sisters em tukumbushane jinsi mlivyokua mnajihami au hiyo ilikua inanikuta peke yangu brothers.?
Share ur Teenage experience here.
Ckuishia hapo hata Form six napo walikuwepo wengine walidai mpaka wamalize chuo kikuu na wengine mpaka form six pia wengine walikua hawana shida.
Brothers & Sisters em tukumbushane jinsi mlivyokua mnajihami au hiyo ilikua inanikuta peke yangu brothers.?
Share ur Teenage experience here.