Mpaka Nimalize Form 4 ndo nitakupa......

Biohazard

JF-Expert Member
Aug 21, 2011
2,197
1,459
Duh...! Ama kweli nilipata tabu sana enzi zangu za kubalehe yani wanafanzi wenzangu wa O-level wengi wao nikiwa approach walikua wananikubali, sekeseke linakua kwenye uroda ambao ahadi zao zilikua MPAKA nimalize FORM 4 Aisee...! kweli nilipata tabu sana.

Ckuishia hapo hata Form six napo walikuwepo wengine walidai mpaka wamalize chuo kikuu na wengine mpaka form six pia wengine walikua hawana shida.

Brothers & Sisters em tukumbushane jinsi mlivyokua mnajihami au hiyo ilikua inanikuta peke yangu brothers.?

Share ur Teenage experience here.
 
hukupata message...mademu walikua hawakupendi..mbona wengine form 1 walikua wanapewa
 
nakumbuka mama yangu kila mara alikuwa anatuambia sisi bado wadogo, kwa hiyo kila mkaka nilikuwa namwambia "mimi bado mdogo".................
wengine wakifikwa shingoni wananicharua............ "UZEE wote huo unajiita mtoto; unafikiri kuna kengele ya kukushtua umekua?"
 
nakumbuka mama yangu kila mara alikuwa anatuambia sisi bado wadogo, kwa hiyo kila mkaka nilikuwa namwambia "mimi bado mdogo".................
wengine wakifikwa shingoni wananicharua............ "UZEE wote huo unajiita mtoto; unafikiri kuna kengele ya kukushtua umekua?"

watu wana manenooooo!!
 
Mshukuru Mungu kuwa enzi zenu UKIMWI ulikuwa haujashika kasi, ungefanya hayo ya kuvua sketi hii na ile enzi hizi, sasa hivi ungekuwa unashiriki JF kutokea mavumbini.
 
nakumbuka mama yangu kila mara alikuwa anatuambia sisi bado wadogo, kwa hiyo kila mkaka nilikuwa namwambia "mimi bado mdogo".................
wengine wakifikwa shingoni wananicharua............ "UZEE wote huo unajiita mtoto; unafikiri kuna kengele ya kukushtua umekua?"
Duu nilipata tabu sana lakini huwezi jua Mungu alikua ananinusuru na nn
 
Mshukuru Mungu kuwa enzi zenu UKIMWI ulikuwa haujashika kasi, ungefanya hayo ya kuvua sketi hii na ile enzi hizi, sasa hivi ungekuwa unashiriki JF kutokea mavumbini.

Ashukuruwe Mungu
 
Back
Top Bottom