Mpaka mwaka 2017 watanzania 99.59% watakuwa CCM

Mpaka mwaka 2017 watanzania 99.59% watakuwa CCM

Japo ni mapema sana ,Lakini Nakupa taarifa,kama kuna kipindi ccm watapoteza ni kipindi hiki !! muda. Utaongea !
Hapa mbwembwe tuu !!

Watanzania tujifunze hata kushukuru kwa kidogo.....tukoje sisi Wachache ambao hata mazuri alio Anza nayo JP hatuoni...kwani hao wangefanya nini???duuh..mnakeraaa
 
unaizungumzia escrow mbona huizungumzii richmond na capacity chage ya umeme ambayo inatutafuna watanzania mpaka leo

Siamini kama wanaccm mna akili hizi, richmond ni shida ya upinzani ama ni udhaifu wa serekali kushindwa kuchukua hatua?
 
Hata wagawe pesa mifukon siji kuwa mwana ccm.
Yaan watu waliowaua kwa ufisad wao miaka 50 hawawez kusamehewa kwa mema ya miaka 5.
 
Tatizo hilo jina linakera halina mvuto labda wabadili badala ya mapinduz waseme maendeleo
 
Siamini kama wanaccm mna akili hizi, richmond ni shida ya upinzani ama ni udhaifu wa serekali kushindwa kuchukua hatua?

kweli unaakili mgando wahusika ws richmond wapo kwenu hujui
 
Mkuu huo ni ukweli kwani kwa sasa hata vijana hawaoni aibu kujiita ccm hasa kwa mambo anayoyafanya jpm.

Kijani na njano imefufuka upya.
CCM wenyewe wanaogopa kujiita wana-serikali ya Magufuli maana anafanya mambo ambayo hawayapendi. wamejizoelea ufisadi sasa yeye anajidai kutumbua majipu. Yaani ni kama CCM imekufa vileee! Hii ni serikali ya Magufuli, siyo ya CCM.
 
Kwa dira inaonesha mwaka 2017 watanzania watakuwa CCM. CCM hivi sasa inajiandaa kusafisha wale wanaojifanya CCM mchana usiku wapo upande mwingi, yale makapi yaliobaki yanaondolewa yote zinaingizwa mashine mpya kuzipa nafasi ya makapi. Na tunamuomba Mungu Magufuli aende mwendo huo huo.

Vice versa is true na ni kwa asilimia kubwa sana coz akubaliki na wanaojifanya hii nchi ni ya kifalme
 
Mleta uzi huwajui vizuri wanadam. ...Libya ilikuwa kama peponi unakumbuka walichomfanyia Gaddafi.?

Unaweza kushangaa ?cm ikaanguka
Kuanguka kwa ccm ni dhairi kwan Mpaka sasa tumeaminishwa kuchagua MTU na sio chama. Ila ya mungu mengi uwez jua nini kitatokea kati ya hii miaka 10
 
Wewe ndoo Mumba kabisa yaani2017 tuweote ccm rabda hiyo familiyq yenu mnaesema ccm ndoo baba na mama kwanyie sawatu
 
So far CCM imefanya nini zaidi ya kudhulumu utajiri wa watanzania?
 
Ingekuwa nchi zenye maendeleo hazina vyama vya upinzani. Watanzania mpaka sasa hivi hawaelewi maana ya upinzani wao wanafikiria ni kugombana na na kutukanana. Inahitajika elimu ya uraia
 
Kuna mmoja kahamia CHADEMA leo toka CCM UWT Arusha
 
Dawasco imepandisha gharama za maji..huduma za mri muhimbili zimepandaa...vyakula bei zimepanda saihizi nyama kl elfu 9,mchele elfu 2800.Haya majipu yanayotumbuliwa bado cjaona unafuu wangu kwa mm mwananchi wa kawaida aisee shida zimenitamalaki
 
Huyo Magufuli mwenyewe siyo mwanachama wa CCM ni Mwanachama wa Magufuli.Yaani siyo serikali ya CCM Bali ni serikali ya Magufuli. maana hata Magufuli wanaona aibu kujikita CCM Kazi mnayo
 
Tutampa kura za kutosha tena JPM sisi tusio na vyama na tuko wengi ...yeye akaze buti tuu...
 
Kumbe uliandika ikiwa inakaribia muda wa kulala, si ajabu ni matokeo ya usingizi.
 
Back
Top Bottom