wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 559
Kwa dira inaonesha mwaka 2017 watanzania watakuwa CCM. CCM hivi sasa inajiandaa kusafisha wale wanaojifanya CCM mchana usiku wapo upande mwingi, yale makapi yaliobaki yanaondolewa yote zinaingizwa mashine mpya kuzipa nafasi ya makapi. Na tunamuomba Mungu Magufuli aende mwendo huo huo.