Mpaka lini jamani...???

St. Paka Mweusi

JF-Expert Member
Sep 3, 2010
7,638
4,522
katuni-majira-10-12-20101.jpg
 
mpaka hicho kifurushi ndani ya nyumba kitakapoisha..., hapo ndio hata pa kukimbilia patakosekana
 
Mpaka siku tukiacha kua omba omba au siku tukiishiwa na RASILIzisizoMALI!
 
Mpaka aliyetuloga atakapofufuka na tumwombe msamaha mana si mnajua aliyetuloga alishakufa?
 
Mpaka tutapo Re-think,
Uchaguaji wetu wa viongozi.
 
Mpaka tutakapoandamana nchi nzima kuelekea Ikulu na nyumbani kwa Mwema:sick:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom