Mpaka leo sijawahi elewa kwanini wasanii hawa hawaelewani

Author

JF-Expert Member
Jan 24, 2014
1,706
7,990
Wadau,

Naomba mnisaidie kuelewa, hivi ni nini sababu ya kutoelewana;

1.Diamond na Ali Kiba

2.Fid Q na Joh Makini

3.Kala pina na wasanii wote

4.Sister P na Zay B


5.Wanaume TMK na Wanaume halisi


Au kutokuelewana kunawasaidia kimaslahi?
 
Wadau,

Naomba mnisaidie kuelewa, hivi ni nini sababu ya kutoelewana;

1.Diamond na Ali Kiba

2.Fid Q na Joh Makini

3.Nomo na wasanii wote wa Hip hop

Au kutokuelewana kunawasaidia kimaslahi?


Hapo wakali ni Mond na Q hao wengine upepo wa kus ukivuma toka Clouds na hawawezi
 
Wadau,

Naomba mnisaidie kuelewa, hivi ni nini sababu ya kutoelewana;

1.Diamond na Ali Kiba

2.Fid Q na Joh Makini

3.Nomo na wasanii wote wa Hip hop

Au kutokuelewana kunawasaidia kimaslahi?
Hili la Fid Q na Joh Makin ndo nasikia leo, hebu tupe tukio linaloweza onesha hawa watu ni rivals!
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom