Nani alikwambia Fid Q na JOH, hawaelewani?Wadau,
Naomba mnisaidie kuelewa, hivi ni nini sababu ya kutoelewana;
1.Diamond na Ali Kiba
2.Fid Q na Joh Makini
3.Nomo na wasanii wote wa Hip hop
Au kutokuelewana kunawasaidia kimaslahi?
Juma Nature vs Inspector HarunaMnazikumbuka bifu za zamani;
1.Sister P na Zay B
2.Kala Pina na wasanini wote
3.Wanaume TMK na Wanaume halisi
Nilidhan ungeandika "Ngoja waje kukupa muongozo"
Kama Philipo Nyandindi (O Ten) na Seleman Msindi (Afande Sele)Mnazikumbuka bifu za zamani;
1.Sister P na Zay B
2.Kala Pina na wasanini wote
3.Wanaume TMK na Wanaume halisi
pumbavu
Wapige mziki sisi tuburudike, wasipotaka wao wengine watatuburudisha, si umemwona Nandy? Konde boy? Zuchu ?
Sisi tunataka mziki mtam
No clouds,ni kibakuli.No youtube views No diamond
Nandy alibebwa na papuchi, siku hizi kavishwa pete na kimarioo cha Kinondoni hakuna tena Ruge wa kumshobokea!
pumbavu square, audiomack jeje Ina 4m streamsNo youtube views No diamond
anaboa sana huyu kijanaKagusa maslahi yako!
Wanasema nafasi ya Nandy ni ya Ruby