Mpaka leo sijawahi elewa kwanini wasanii hawa hawaelewani

Wapige mziki sisi tuburudike, wasipotaka wao wengine watatuburudisha, si umemwona Nandy? Konde boy? Zuchu ?

Sisi tunataka mziki mtam

Nandy alibebwa na papuchi, siku hizi kavishwa pete na kimarioo cha Kinondoni hakuna tena Ruge wa kumshobokea!
 
Hata Kama ni maslahi ya kibiashara...Kuna uchokozi mwingine unakuwa excessive sana
I bet ipo siku Kuna upande uzalendo utawashinda watarusha ngumi hewani....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom