Mpaka leo Lowassa hajawahi kubadilisha Hili!

Mpaka leo Lowassa hajawahi kubadilisha Hili!

Uzi mzuri, siku hizi BAVICHA wanapimwa akili zao kila siku na wanakurupuka tu kwa kutanguliza matacko kwenye shimo kama ngiri.
Ona sasa akili zao jinsi wanavyojibu kwenye komments, wanashindwa toa utetezi, wanaishia kuuloza na kuandika ujinga! Typical bavicha.
Safi mleta uzi!
 
Kuanzia kampeno za uchaguzi mpaka leo wikipedia inamuita Lowasa fisadi pamoja na watu wake kulalamika sana na kusema kwamba wikipedia kila mtu anaweza kuandika na kwamba kilichoandikwa siyo sahihi lkn wameshindwa kurekebisha mpaka leo hii, hivyo kama unataka kujua kuhusu Lowasa wikipedia inakwambia kwamb ni fisadi!

Edward Ngoyai Lowassa (born August 26, 1953) is a Tanzanian politician who was Prime Minister of Tanzania from 2005 to 2008, serving under President Jakaya Kikwete.[SUP][2][/SUP] Lowassa has gone into record as the first Prime Minister to have been forced to resign by a fraud scandal in the history of Tanzania,[SUP][3][/SUP] earning him the nickname "Lo-Rushwa"[SUP][citation needed][/SUP].[SUP][4][/SUP] "Rushwa" means bribe in Swahili.

Wiki ijayo diamond anatoa nyimbo mpya na video mpya unajua atakuwa ameshirikiana na msanii gani.!
 
Mazee hivi 24hrs season 9 episode zilichezwa Russia bado hazijatoka?
 
Uzi mzuri, siku hizi BAVICHA wanapimwa akili zao kila siku na wanakurupuka tu kwa kutanguliza matacko kwenye shimo kama ngiri.
Ona sasa akili zao jinsi wanavyojibu kwenye komments, wanashindwa toa utetezi, wanaishia kuuloza na kuandika ujinga! Typical bavicha.
Safi mleta uzi!

Wikipedia hata mm naweza kuandika chochote bila hata ushahidi, mwambie alete source inayoeleweka
 
Uzi mzuri, siku hizi BAVICHA wanapimwa akili zao kila siku na wanakurupuka tu kwa kutanguliza matacko kwenye shimo kama ngiri.
Ona sasa akili zao jinsi wanavyojibu kwenye komments, wanashindwa toa utetezi, wanaishia kuuloza na kuandika ujinga! Typical bavicha.
Safi mleta uzi!

Mambo!
 
Back
Top Bottom