Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Kuanzia kampeno za uchaguzi mpaka leo wikipedia inamuita Lowasa fisadi pamoja na watu wake kulalamika sana na kusema kwamba wikipedia kila mtu anaweza kuandika na kwamba kilichoandikwa siyo sahihi lkn wameshindwa kurekebisha mpaka leo hii, hivyo kama unataka kujua kuhusu Lowasa wikipedia inakwambia kwamb ni fisadi!
Edward Ngoyai Lowassa (born August 26, 1953) is a Tanzanian politician who was Prime Minister of Tanzania from 2005 to 2008, serving under President Jakaya Kikwete.[SUP][2][/SUP] Lowassa has gone into record as the first Prime Minister to have been forced to resign by a fraud scandal in the history of Tanzania,[SUP][3][/SUP] earning him the nickname "Lo-Rushwa"[SUP][citation needed][/SUP].[SUP][4][/SUP] "Rushwa" means bribe in Swahili.
Edward Ngoyai Lowassa (born August 26, 1953) is a Tanzanian politician who was Prime Minister of Tanzania from 2005 to 2008, serving under President Jakaya Kikwete.[SUP][2][/SUP] Lowassa has gone into record as the first Prime Minister to have been forced to resign by a fraud scandal in the history of Tanzania,[SUP][3][/SUP] earning him the nickname "Lo-Rushwa"[SUP][citation needed][/SUP].[SUP][4][/SUP] "Rushwa" means bribe in Swahili.