Naona ni vizuri kujifunza kutamka kitu kilichonyooka na ukikisema uwe na uhakika na hata ujiandae na ushahidi kama utahitajika.
Kusingiziana kwa namna yeyote ile ni sumu kubwa kwa maisha ya forum hii.... nimekua msomaji mkubwa sana wa hii forum na sasa nimeamua kuingia rasmi kama mchangiaji , na post hii ndio ya kwanza kabisa kwangu katika hili jamvi..hii nikutokana na mguso nilioupata kwa kusoma thread hii.
Please lets forget about kujuana humu ndani..maana tukianza kujuana hapatakalika hapa...hiii ya kutokujuana na kutokua na nia ya kutaka kujuana ndio inayoleta chachandu kubwa katika mijada ya hapa...tukishajuana tutakua kuwa hatuthubutu tena kuongea kwa uwazi..na forum hii itakua useless na ndio itatupiwa baharini kabisa..itabaki kuwa ni ya kuchati tu na hoja za mapenzi na vichekesho/jokes...so lets avoid this wana JF kama tunataka hii forum iwe chachu ya maendeleo kwa nchi yetu hii tuipendayo kwa dhati.
Kwa hili nakupa pole sana Bwana FMES, and i hope this wont affect your immense contribution in this Big forum.
Karibu sana ukumbini ndugu Hemonich.