Mpaka iondolewe ndio wanatulia

Mpaka iondolewe ndio wanatulia

Halafu kitu kingine hata wazazi wakiona kabinti kao kanazengewa na Checkbob wanatulia tu, ila wakiona Mtu wa Maana anafuatilia binti yao, basi hapo Hadi waandishi wa habari watatafutwa Mtu Mzima adhalilishwe pengine hata sie yeye aliefungua Duka rasmi.
 
hakuna ajuaye ya kesho na wala hakuna ajuaye moyo wa mtu mwingine......mi naamini hakuna mwanamke anayependa kuwa na msururu wa vidume ila inatokea tu unaangukia kwa mtu ambae hakupendi kwa dhati koz moyo wa mtu ni kiza kinene

goooood point
 
Tafiti za namna hii huwa zinatumia "time series data"...Hebu specify muda kwanza, kuna kitu muhimu kukielewa kabla ya matokeo!
 
Its a shame wanaojifanya good boys huishia pabaya. Labda ndo 'maktoub' hiyo. Good girls pia huishia kwa bad boys all their life.

Jirani yangu wa utotoni alikua mtulivu sana. Kaishia kuoa mdada ana watoto wa3 kila mmoja baba yake. Mdada kamzidi miaka mi4! What a waste... na anazinguliwaje ndani!

On the contrary, msela flan nae besti tangu utotoni, kashawazindua si chini ya wa3. Na mmoja alikua wa chuo kikuu mwaka wa mwisho. Yani kujitunza kote na bado akamwagwa.... sio sifa ila ni ukweli unaouma kiaina!
 
Inawezekana, ila cku hizi hakunaga mapenzi tena, wadada wengi wamepoteza bikira zao sio kwasababu ya mapenzi waliyonayo kwa wanaume husika!! cku hizi ni bora liende tu, silazima kuolewa na aliyekutoa bikira!!
 
utilitarianism....maximize pleasure minimize pain...life goes on
 
Ni kwanini wanaume hawaoi wasichana waliowabikiri wanaoa waliobikiriwa na wenzao, labda tuambiane kuna siri gani hapo ukibikiri unaacha ukikuta aliebikiriwa ndio unaoa, kifupi kwa nini mnabikiriana?

Duh
Kweli ww noma
Umewaza nn sijui!
 
Kitulizeni basi. Hamuwezi kuishi bila ngono??

Kwani ngono wanafanya na nani?
Wanaume acheni watt wasome...yaani sshiv ukiwa na mtt wa kike akifika la sita unaanza mawazo! Jinsi ya kuwavusha kwenye hiki kipindi Mungu tu ai ngilie kati manaake unakuta mibaba mikubwa ndo inawarubuni hawa mabinti!
 
Its a shame wanaojifanya good boys huishia pabaya. Labda ndo 'maktoub' hiyo. Good girls pia huishia kwa bad boys all their life.

Jirani yangu wa utotoni alikua mtulivu sana. Kaishia kuoa mdada ana watoto wa3 kila mmoja baba yake. Mdada kamzidi miaka mi4! What a waste... na anazinguliwaje ndani!

On the contrary, msela flan nae besti tangu utotoni, kashawazindua si chini ya wa3. Na mmoja alikua wa chuo kikuu mwaka wa mwisho. Yani kujitunza kote na bado akamwagwa.... sio sifa ila ni ukweli unaouma kiaina!

Duuh! Mkuu Hayo Majanga!
 
Mkuu wenye seal wapo sema wewe hujajua wanapatikana wapi.

Daaah! Mkuu ni shidah. Tutaomba UNESCO waingilie kati. Seal zimekua ni shida kubwa wajameni. Used used used every where used. Yaani hata ukiona Ndoa imependeza namna gani. Jua jamaa aidha kakuta seal ishaondolewa akaamua kuendelea tu hivyo hivyo au kama akifika huko kwenye Mwezi wa Asali, atoombwa radhi basi yataisha.

Namkumbuka ndugu yangu Mmoja alilia sana alipokuta seal imeshavunjwa wakati aliahidiwa kabisa kua seal ipo intact. Jamaa akaishia kuombwa radhi, basi mpaka leo amkubali matokeo.

Sasa swali ni kwamba, je akienda Harusini maeneo ya kwao, na Wewe upo bize huko, akakutana na fundi wake Mvunja seal, Si watakumbushia wajameni?
 
Alitumia Bikira scanner! alianzia ofini akaenda mashuleni akamalizia sokoni...matokeo yalikua ya kutisha aisee! hazipo kabisa!

Atakuja na tiba ya kuzirudisha!

Ulitumia methodology gan ktk utafiti wako,sample space ilikuaje?
 
Back
Top Bottom