Mpaka iondolewe ndio wanatulia

Mpaka iondolewe ndio wanatulia

Ni kwanini wanaume hawaoi wasichana waliowabikiri wanaoa waliobikiriwa na wenzao, labda tuambiane kuna siri gani hapo ukibikiri unaacha ukikuta aliebikiriwa ndio unaoa, kifupi kwa nini mnabikiriana?

Nakwanini wanakubali kuondolewa bikra kabla ya ndoa?
 
Kwasababu sio kama hawajui. Wanajua kabisa kua Mimi naenda kubikiriwa na huyu mtu hata nioa, kwasababu kama angetaka kunioa angeleta posa kwanza akafunga ndoa nami then akikata seal ni halali yake. Sasa kwanini hawawazi hivyo???????????
 
Kwa nini mnaomba kuziondoa kama mnataka mzikute kwenye ndoa?

Kwasababu sio kama hawajui. Wanajua kabisa kua Mimi naenda kubikiriwa na huyu mtu hata nioa, kwasababu kama angetaka kunioa angeleta posa kwanza akafunga ndoa nami then akikata seal ni halali yake. Sasa kwanini hawawazi hivyo???????????

Mwasu nadhani nimekujibu hapo dada yangu!
 
Mwasu nadhani nimekujibu hapo dada yangu!

Kwa sababu hata sili zikikatwa uhakika wa kuolewa upo tu, ndio maana imeonekana kama haina thamani,kama unanikuta ninayo na hunithamini, nakuona unahangaika na viruka njia na kuoa hao kwa nini mwingine awe na sababu ya kuiweka mpakaa ndoa? Mngeonesha thamani yake zingetunzwa tu.
 
Kwa sababu hata sili zikikatwa uhakika wa kuolewa upo tu, ndio maana imeonekana kama haina thamani,kama unanikuta ninayo na hunithamini, nakuona unahangaika na viruka njia na kuoa hao kwa nini mwingine awe na sababu ya kuiweka mpakaa ndoa? Mngeonesha thamani yake zingetunzwa tu.

Mimi nadhani ikiondolewa kihalali hakuna lawama. Kwa sababu kufuli alilo liweka Mungu, tena Linapofunguliwa lazima utoke damu, Sio kitu cha kuchadharau. Maana hatakama umeolewa Mwasu, lakini ndani ya nafsi ya Mumeo na wewe wenyewe kuna Guilty Consciousness. Na ndio maana na yeye anakutumia kisha anakumwaga.
 
Hakuna ajuaye ya kesho na wala hakuna ajuaye moyo wa mtu mwingine......mi naamini hakuna mwanamke anayependa kuwa na msururu wa vidume ila inatokea tu unaangukia kwa mtu ambae hakupendi kwa dhati koz moyo wa mtu ni kiza kinene

Maelekezo ni kuto kufanya kabla ya Ndoa, sasa kwanini mnakubali wakati mnajua hamko kwenye ndoa.
 
Maelekezo ni kuto kufanya kabla ya Ndoa, sasa kwanini mnakubali wakati mnajua hamko kwenye ndoa.

Na ninyi mbona mnaomba? Tena ukimwambia hadi ndoa anakuona mshamba wa wapi sijui....
 
Mimi nadhani ikiondolewa kihalali hakuna lawama. Kwa sababu kufuli alilo liweka Mungu, tena Linapofunguliwa lazima utoke damu, Sio kitu cha kuchadharau. Maana hatakama umeolewa Mwasu, lakini ndani ya nafsi ya Mumeo na wewe wenyewe kuna Guilty Consciousness. Na ndio maana na yeye anakutumia kisha anakumwaga.
Kuondolewa kihalali ni pale unapokuwa umeridhia na kukubali mwenyewe kutokana na mapenzi uliyonayo kwa huyo muondoaji, kuolewa si kweli kila aolewae anakuwa anamapenzi na huyo muoaji, kama mume kuikosa bikra ni matatizo kwake why hakuuliza mapema kama ipo before kuamua kuoa? mi nadhani thamani ya mke ni kumuheshimu na kumtii mume wake, lakini kutolewa bikra na mume then ukawa na michepuko that will make him happy? kwa kuwa tu alikata seal?
 
Hivi mnafahamu bikira hua inaisha yenyewe with time?? Hata mtu akijitunza vipi huwezi kukuta bikira kwa mwanamke wa 30+ unless kama ana tatizo la im-perforated vagina. Hiyo ni disorder inayohitaji medical attention
 
Back
Top Bottom