Mpaka iondolewe ndio wanatulia

Mpaka iondolewe ndio wanatulia

mi dem wangu bikra na mi mwenyewe bikra 18yrs. na2na malengo ya kuoana and 2po chuo first year
 
Katika utafiti wangu usio rasmi, nimegundua kua wasichana wengi wanakua wapole na kujidai kujituliza sana kusaka Mume wa Ndoa baada ya kubikiriwa na Mtu ambae hakua na malengo kabisa ya kumuoa na mpaka hapo wanakua wamesha mwagana na pengine kaachiwa na katoto juu.

Inawezekana pia kabla ya hapo, Kijana sahihi ambae alikua anampenda kwa dhati alimzingua akampelekea chekbob akammega na kuingia mitini.

Yaani kila unaekutana nae hakuna Seal. Why?.

Hivi ni kwanini???.

wewe unayo seal?
 
Katika utafiti wangu usio rasmi, nimegundua kua wasichana wengi wanakua wapole na kujidai kujituliza sana kusaka Mume wa Ndoa baada ya kubikiriwa na Mtu ambae hakua na malengo kabisa ya kumuoa na mpaka hapo wanakua wamesha mwagana na pengine kaachiwa na katoto juu.

Inawezekana pia kabla ya hapo, Kijana sahihi ambae alikua anampenda kwa dhati alimzingua akampelekea chekbob akammega na kuingia mitini.

Yaani kila unaekutana nae hakuna Seal. Why?.

Hivi ni kwanini???.

wewe hapo ulipo unayo seal? ungekuwa unapata mimba ingekuwa umeto ngapi au ungekuwa na watoto wangapi.?
 
Hakuna ajuaye ya kesho na wala hakuna ajuaye moyo wa mtu mwingine......mi naamini hakuna mwanamke anayependa kuwa na msururu wa vidume ila inatokea tu unaangukia kwa mtu ambae hakupendi kwa dhati koz moyo wa mtu ni kiza kinene

mkuu unatumia kinywaji gani??
 
Akangaika...endelea kuvuta muda bado unakusubiri....Ukifika miaka 40 ndio zaa halafu uwaachie watoto ndugu zako wakulelee wakati wewe ushastaafu



Duh mm pia yupo moja ameniganda kinyama anadai anataka ndoa af mwenzake ndo ata sina mpango, sijui nifyatuke vp yan.
 
Akangaika...endelea kuvuta muda bado unakusubiri....Ukifika miaka 40 ndio zaa halafu uwaachie watoto ndugu zako wakulelee wakati wewe ushastaafu

Akifa tunamzika na mwanae.....tusipeane tabu....
 
Back
Top Bottom