Katika kile kinachoonekana kama laana ya kuchakachua kura moja mbunge wa Shinyanga mjini CCM Steven Masele hafurahii uheshimiwa wake katika jimbo lake, huku wananchi wakionekana kumdharau Masele, ameshaitisha mikutano zaidi ya mitano na wahudhuriaji wanaweza kukaa katika darasa moja, huku aliyechakachuliwa Shelembi wa CDM akiendelea na kesi mahakama ya H mkazi Shinyanga.