Sawa asantePamoja na kwamba umekataa ushauri lakini nakuomba sana usome huu wangu
Kwa hali uliyonayo sasa tayari wewe ni fursa kwa wapigaji na watu wasio na roho ya utu!
USIDANGANYIKE!!! huku hutapata waganga wa kukusaidia shida yako! UTAISHIA kupigwa na kuumizwa zaidi
Aliyekutapeli anayo cash ya kuweza kununua hata ng'ombe mzima wa kafara ili asidhurike na mashambulizi yako ya kimwili (kisheria,kidunia) na kiroho (uchawi)
Wewe hapo sana sana utaishia kuambiwa upeleke kuku ama mbuzi na ukapewa masharti magumu yasiyotekelezeka ili ushindwe!
Kuambiwa tanguliza laki ya vifaa ni jambo la kawaida sana
Tulia kwanza upe muda wakati utapata suluhu nzuri..ACHANA NA WAGANGA WA KIENYEJI..! WATAKUPIGA!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Upe muda wakati, vumilia kaza moyo 4M sio hela ikataka muda si mrefu wakishaishiwa ndio utaingia ulingoni sasaMimi kwasasa nilipofikia sihitaji hiyo ml.4 iludi ila nataka niwafanyie kitu kibaya roho yangu ipoe
Sawa mkuuUpe muda wakati, vumilia kaza moyo 4M sio hela ikataka muda si mrefu wakishaishiwa ndio utaingia ulingoni sasa
Ukishindwa kusamehe lipa kisasi
Hii ya leo ni tofauti kidogo na mada zetu zile, hii inahusika na kulipa kisasi. Katika maisha bila kujali unaamini nini hakuna jambo jema kama kusamehe! Msamaha hukusaidia mengi mpaka kifo na maisha yanayofuata baada ya kifo iwe reincarnation au rebirth nk !msamaha hukufanya uwe mwema mwenye...www.jamiiforums.com
Ukishindwa kusamehe lipa kisasi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] Anakudanganya huyo, anajua nguvu yao? Gharama nzima hapo haitapungua 500k! Mbona inatosha kabisa kufanya direct revange? Kuna watu mbona hiyo ni kubwa sana na matokeo ni halisi?Kuna mganga nimepata kasema tununue mbuzi wa4 kwaajili Yao kila mmoja mbuzi wawili
[emoji19][emoji19][emoji19][emoji23] Anakudanganya huyo, anajua nguvu yao? Gharama nzima hapo haitapungua 500k! Mbona inatosha kabisa kufanya direct revange? Kuna watu mbona hiyo ni kubwa sana na matokeo ni halisi?
Sorry kwa kukufundisha jambo baya
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie muandikishiane akishindwa kazi arejeshe gharama zote uone atasemaje[emoji19][emoji19][emoji19]
OkhMwambie muandikishiane akishindwa kazi arejeshe gharama zote uone atasemaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Kapoteze zingine kwa mgangasina mda huo tena wa kupoteza Hela nyingine
[emoji23][emoji23] ngoja kwanza nimalizie kulia
nilikuambia utatapeliwa si muda na thread zako za ajabu ajabHabar wakuu
Kila nikikaa roho yangu inaniuma sana rafiki yangu niliemuamini yeye na rafkiake wamenitapeli ml. 4 cash
Ametumia urafiki wake Kwangu kuniumiza na hatukuandikishia popote na sina Cha kufanya ila nimekuja hapa naomba mtu yoyote anayemfahamu mganga yoyote anayeweza kazi ya kuangamiza aje PM nahitaji kuwaangamiza wao na familia Yao yote moyo wangu utulie
Asanteni.
Habar wakuu Mimi sijaja hapa kuomba ushauli nimekuja hapa kuomba nilichoomba mwenye uwezo wa kunisaidia afanye hivo asanteni