Moyo wangu unauma sana

Moyo wangu unauma sana

Pamoja na kwamba umekataa ushauri lakini nakuomba sana usome huu wangu

Kwa hali uliyonayo sasa tayari wewe ni fursa kwa wapigaji na watu wasio na roho ya utu!
USIDANGANYIKE!!! huku hutapata waganga wa kukusaidia shida yako! UTAISHIA kupigwa na kuumizwa zaidi

Aliyekutapeli anayo cash ya kuweza kununua hata ng'ombe mzima wa kafara ili asidhurike na mashambulizi yako ya kimwili (kisheria,kidunia) na kiroho (uchawi)
Wewe hapo sana sana utaishia kuambiwa upeleke kuku ama mbuzi na ukapewa masharti magumu yasiyotekelezeka ili ushindwe!
Kuambiwa tanguliza laki ya vifaa ni jambo la kawaida sana

Tulia kwanza upe muda wakati utapata suluhu nzuri..ACHANA NA WAGANGA WA KIENYEJI..! WATAKUPIGA!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa asante
 
Mimi kwasasa nilipofikia sihitaji hiyo ml.4 iludi ila nataka niwafanyie kitu kibaya roho yangu ipoe
 
Mimi kwasasa nilipofikia sihitaji hiyo ml.4 iludi ila nataka niwafanyie kitu kibaya roho yangu ipoe
Upe muda wakati, vumilia kaza moyo 4M sio hela ikataka muda si mrefu wakishaishiwa ndio utaingia ulingoni sasa


Ukishindwa kusamehe lipa kisasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upe muda wakati, vumilia kaza moyo 4M sio hela ikataka muda si mrefu wakishaishiwa ndio utaingia ulingoni sasa


Ukishindwa kusamehe lipa kisasi

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu
 
Kuna mganga nimepata kasema tununue mbuzi wa4 kwaajili Yao kila mmoja mbuzi wawili
Anakudanganya huyo, anajua nguvu yao? Gharama nzima hapo haitapungua 500k! Mbona inatosha kabisa kufanya direct revange? Kuna watu mbona hiyo ni kubwa sana na matokeo ni halisi?
Sorry kwa kukufundisha jambo baya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu pole sana kwa kutapeliwa ....Nakushauri samehe tuu jip e muda utakuja kuyasahau yote hayo

Cha msingi uwe umejifunza kupitia hili usije kumuamini mtu yeyote katika maisha haya

Inuka anza upya kupambana ...Mungu ni mwema atajazia palipo pungua
 
Pole sana inaumiza sana jaribu kutafuta njia nyingine na usihusishe Familia zao pambana na hao waliokutapeli.
 
Uko kama Mimi bro Kuna mtu nilimwachia Biashara aisimamie nilienda kumuuguza mtu huko almost kama miezi 6 hivi kurudi hasara ya Zaid ya milioni 6 afu kakimbia baada ya kusikia narudi nilichofanya nilienda kwanza kwenye maombi niombwe roho ya uvumilivu maana
 
Habar wakuu

Kila nikikaa roho yangu inaniuma sana rafiki yangu niliemuamini yeye na rafkiake wamenitapeli ml. 4 cash

Ametumia urafiki wake Kwangu kuniumiza na hatukuandikishia popote na sina Cha kufanya ila nimekuja hapa naomba mtu yoyote anayemfahamu mganga yoyote anayeweza kazi ya kuangamiza aje PM nahitaji kuwaangamiza wao na familia Yao yote moyo wangu utulie

Asanteni.

Habar wakuu Mimi sijaja hapa kuomba ushauli nimekuja hapa kuomba nilichoomba mwenye uwezo wa kunisaidia afanye hivo asanteni
nilikuambia utatapeliwa si muda na thread zako za ajabu ajab
 
Back
Top Bottom