Moyo wangu unauma sana

Moyo wangu unauma sana

Yaani mtu akudhulumu na wewe ujifungie ndani na kusali? Hata Mungu hatasikiliza sala zako. Anyways, mwanzisha thread anaonekana naye ni walewal tu kwani ametapeliwa halafu anataka kutafuta mtu wa kumtapeli zaidi.
kuna uzi alileta anataka mtu amsaidie sijui aongee na marehemu😆😆..ndo hapo nikasema kumbe wajinga bado wanaexisist
 
Habar wakuu

Kila nikikaa roho yangu inaniuma sana rafiki yangu niliemuamini yeye na rafkiake wamenitapeli ml. 4 cash

Ametumia urafiki wake Kwangu kuniumiza na hatukuandikishia popote na sina Cha kufanya ila nimekuja hapa naomba mtu yoyote anayemfahamu mganga yoyote anayeweza kazi ya kuangamiza aje PM nahitaji kuwaangamiza wao na familia Yao yote moyo wangu utulie

Asanteni.

Habar wakuu Mimi sijaja hapa kuomba ushauli nimekuja hapa kuomba nilichoomba mwenye uwezo wa kunisaidia afanye hivo asanteni
Achana nao hicho unachotafuta kitakutesa sana baadae. Bora ungeomba ushaur namna ya kufanya ili wakurudishie hela yako sio kulogana
 
Habar wakuu

Kila nikikaa roho yangu inaniuma sana rafiki yangu niliemuamini yeye na rafkiake wamenitapeli ml. 4 cash

Ametumia urafiki wake Kwangu kuniumiza na hatukuandikishia popote na sina Cha kufanya ila nimekuja hapa naomba mtu yoyote anayemfahamu mganga yoyote anayeweza kazi ya kuangamiza aje PM nahitaji kuwaangamiza wao na familia Yao yote moyo wangu utulie

Asanteni.

Habar wakuu Mimi sijaja hapa kuomba ushauli nimekuja hapa kuomba nilichoomba mwenye uwezo wa kunisaidia afanye hivo asanteni
unaomba mganga ili nae akakutapeli mil 4 cash zingine right?
 
Huoni ukiwaroga na ndugu zake utakua ume wa athiri watu wasio na hatia?
 
Habar wakuu

Kila nikikaa roho yangu inaniuma sana rafiki yangu niliemuamini yeye na rafkiake wamenitapeli ml. 4 cash

Ametumia urafiki wake Kwangu kuniumiza na hatukuandikishia popote na sina Cha kufanya ila nimekuja hapa naomba mtu yoyote anayemfahamu mganga yoyote anayeweza kazi ya kuangamiza aje PM nahitaji kuwaangamiza wao na familia Yao yote moyo wangu utulie

Asanteni.

Habar wakuu Mimi sijaja hapa kuomba ushauli nimekuja hapa kuomba nilichoomba mwenye uwezo wa kunisaidia afanye hivo asanteni
Nenda tengeru pale arusha ulizia mwamba anaitwa kuri. Malipo nazani ata 10k inatosha ni maarufu sana boda wa tengeru na maeneo jirani wanamjua.
Sitaki kuyafutwa pm maelezo niliyotoa yanatosha kumfikia
 
Back
Top Bottom