Bora na wewe umethibitisha maneno yangu. Shida ni pale mhitaji akiwa na roho nyepesi matokeo yakianza kuonekana, maan kuna dawa zao nyingine ni hatari hadi taifa linaweza kupigwa butwaa. Ipo ile mlengwa akishaanza kutangulia ahera sasa kila ndugu atakae kuja msibani hapo anamlilia marehemu lazima na yeye afie hapo hapo muda huo huo. Kwa hiyo ndugu wasiposhutuka mapema ndugu watapukutika siku hiyo km kuku wa kideli. Sasa huyu akiambiwa matokeo km hayo ataweza kuvumilia au ataweza kuwaonea huruma.
Tusiwachukulie watu poa. Kuna mikoa ni silent kila Ila haifahamiki.